Mwanahabari Huru JF-Expert Member Mar 9, 2015 14,243 34,899 Dec 28, 2017 #1 Leo Tanroads wameanza Bomoa Misikiti yote ambayo viongozi wa dini ya Kiislam waligoma kuboma huu ni msikiti wa kimara mwisho
Leo Tanroads wameanza Bomoa Misikiti yote ambayo viongozi wa dini ya Kiislam waligoma kuboma huu ni msikiti wa kimara mwisho
swalehe shiza JF-Expert Member Jun 3, 2016 1,616 2,386 Dec 28, 2017 #2 Huyu kipara anatakiwa kutubu acha ajidanganye n waganga wa magumashi wa bashite
Mama_Aheshimiwe JF-Expert Member Feb 6, 2014 2,747 4,162 Dec 28, 2017 #3 Kwahiyo atapita barabara yaSam Nujoma Akatubu biashara iishe
D Daud26 JF-Expert Member Jul 29, 2015 1,218 804 Dec 28, 2017 #4 Wacha wabomoe Time will tell . Lakini ni kwanin waliacha ujenzi ukafanyika?
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,364 94,542 Dec 28, 2017 #5 Kakobe be careful lijamaa linaweza tangaza bomoa bomoa upande wako tu
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,952 93,916 Dec 28, 2017 #6 Duh! Mwaka wa nyumba kubomolewa kupisha ujenzi wa barabara - 2017 Mwaka wa ujenzi wa barabara kuanza baada ya makazi kubomolewa - unknown
Duh! Mwaka wa nyumba kubomolewa kupisha ujenzi wa barabara - 2017 Mwaka wa ujenzi wa barabara kuanza baada ya makazi kubomolewa - unknown