Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,440
- 113,449
Wakazi wa Mbezi Beach eneo la Samaki Wabichi, kuelekea Mbezi Juu kupitia Goba Rd, huenda wakakumbwa na bomoa bomoa ya upanuzi wa barabara ya Goba ambayo ilikuwa ni reginal road yenye upana wa mita 10, na kubadili kuwa main rd kwa upana wa mita 45, hali itakayopelekea nyumba zote pembezoni mwa barabara hiyo, kukumbwa na bomoa bomoa hiyo.
Isome habari kamili hapa MICHUZI: Tishio la Bomoa Bomoa Mbezi Juu: Wakazi Waishi kwa Wasiwasi!.
Pia habari hii iko kwenye magazeti ya Daily News, Guardian, Nipashe, Tanzania Daima na Uhuru.
Swali, kama ni kweli, watu wameishi hapo tangu mwaka 1948 wakapimiwa viwanja, wakamilikishwa kwa hati miliki, hiyo mipango miji ilikuwa wapi kipindi chote hicho, ndio sasa wanaibuka kuja kuwabomolea watu nyumba zao?.
Isome habari kamili hapa MICHUZI: Tishio la Bomoa Bomoa Mbezi Juu: Wakazi Waishi kwa Wasiwasi!.
Pia habari hii iko kwenye magazeti ya Daily News, Guardian, Nipashe, Tanzania Daima na Uhuru.
Swali, kama ni kweli, watu wameishi hapo tangu mwaka 1948 wakapimiwa viwanja, wakamilikishwa kwa hati miliki, hiyo mipango miji ilikuwa wapi kipindi chote hicho, ndio sasa wanaibuka kuja kuwabomolea watu nyumba zao?.