Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna malighafi ambayo watanzania hatunaniulize kitu hapa.. hivi sisi Tanzania hatuna vyanzo vya upatikanaji haya mafuta ghafi ili tuchimbe wenyewe badala ya kuwa mgongo kutumika kupitisha maendeleo ya nchi jirani badala tujitafutie sie wenyewe?
Nadhan pongezi zangu nimempa kwa alichokiandika kuhusu kenyaMkataba Wa tanzania Kilatha ameuona? Hehehe
Sio kweli, usiwe zuzu. Taarifa rasmi hiyo hapo juu, umeona any of reasons ulizozitaja kwenye hiyo taarifa?Utunzaji wa Mazingira, Wanyama Pori,Haki za binadamu haswa waandishi wa habari zimewaondoa TOTAL
Ndio maana kila siku nasema watu walau wawe na background knowledge ya vitu kwanza kabla ya kuanza majibizano.Mkataba Wa tanzania Kilatha ameuona? Hehehe
Asanteniii wazungu Kwa kusitisha mradi huuBavicha wamepata vya kudandia
Ulaya ya Leo wote ni matapeli Tu TATIZO linakuja pale viongozi wetu wanapojipa matumaini yaliyopitiliza bila kujua kesho yake.,..Isije ikawa mchezo wa mazingaombwe wanaotuchezea haya makampuni!
Uamzi wa kujenga bomba ulifikiwa kabla ya Tullow hata hajawa na fikra za kuuza hisa, itakuwaje sasa ndio liwe jambo la kufa na kupona katika ujenzi wa bomba?
Inawezekana Tullow na Total sasa wakawa wanatuchezea sarakasi?
Itashangaza sana wakilibeba tena bomba na kulipeleka lilikotoka! M7 naye akiingizwa choo hicho atakuwa juha mkubwa!
Museveni haya mafuta amehangaika nayo zaidi ya miaka kumi, hata senti tano hajaiona. Sasa wanamchezea akili kama mtoto mdogo!
Ifike mahali nchi hizi maskini ni lazima zikatae kuchezewa. Tuache kuweka matumaini mengi kupita kiasi juu kutegemea mali asili kama mafuta na madini kuwa tegemeo la kuzikwamua nchi hizi kutoka katika ufukara wa kutupwa. Kuna nchi kibao duniani zimeweza kupata maendeleo bila ya kutegemea mali asili. Kwa nini iwe tofauti kwetu?
Dawa ya makampuni kama haya ni kuweka sheria zinazowataka kuendeleza mali walizogundua katika muda maalum. Wakishindwa kufanya hivyo mali hizo zinarudishwa kwa wenyewe, wananchi. Makampuni yatafidiwa tu gharama zilizotumika katika kazi za ugunduzi.
Hatua hii itawatia akili kichwani.
Hawa wa kwetu na gesi na wao sasa hawana haraka. Wapo kama hawapo, huwasikii tena, hata mnong'ono, kwa sababu wanajua sheria zinawalinda hata ikichukua miaka ishirini, bila kujali mahitaji ya wenye nchi.
Tukisema eneo hilo sasa tunataka kulifanya liwe la kufugia samaki, watakataa kuruhusu?
Hivi majuzi kulikuwa na kutoelewana kati ya Total na Tullow kuhusu ununuaji wa Hisa:
Kampuni ya Uchimbaji mafuta Uganda yavunja Mkataba na TOTAL. Je, maslahi yetu kwenye Bomba la Mafuta yatakuwaje?
Kampuni ya uchimbaji mafuta ya TULLOW ya nchini Uganda imevunja mkata wake na kampuni ya TOTAL ya Ufaransa na ile COON ya China kutokana na utata uliojitokexa kwenye maswala ya ushuru. Source: ITV habari My take: Maslahi ya Tanzania kwenye bomba la mafuta yanaweza kupata changamoto yoyote...www.jamiiforums.com
Sasa Total SA Imetangaza kuwa mpango huo umesitishwa.
***************************************************
Total SA has suspended its planned $3.5 billion crude export pipeline from Uganda to Tanzania after the collapse of a deal to buy a stake in Tullow Oil Plc’s oil fields in Uganda.
The French oil major has terminated all activities related to the 1,445-kilometer (898-mile) conduit from its crude fields in Uganda to Tanga in Tanzania because shared ownership in the project was to be determined upon the completion of the Tullow deal, an official familiar with the project at Total’s Ugandan office said.
Last week, Tullow Oil was forced to abandon plans to sell a stake in its Ugandan project to Total and China’s Cnooc Ltd. and restart the process from scratch after tax negotiations stymied the deal. The termination of the agreement was a blow to Tullow, which had sought partners to help it develop about 1.5 billion barrels of recoverable oil in its Ugandan fields.
After Tullow discovered oil in landlocked Uganda in 2006, the country made ambitious plans to construct a 216,000-barrel-a-day pipeline and a refinery. Its anticipated time line for delivering first oil from the project was adjusted multiple times. A recent government estimate stated that it would come online in 2022. A final investment decision on the project was targeted for the end of this year.
The project’s partners and Uganda’s government will have to come up with a “sensible new target” to give it the green light, Tullow Chief Executive Officer Paul McDade said after the company announced it planned to scrap the stake sale.
Total E&P Uganda, which was leading the pipeline project, dismissed employees who were set to undertake works on it, the official said. The explorer was involved in initial land acquisition in both countries, the official said.
Cnooc Uganda Ltd., which is jointly developing the country’s crude finds, suspended at least 12 employees following delays on the project, a company official familiar with the matter said by phone without providing further details.
Total declined to comment.
Ulichosema mku ndo wanataka kukifanya wauze shares walipie gharama za mradi. Wanaweza kununua wenzie au kuuza kwa wengine ili mradi pesa ipatikane wafanye vitu vyote kwa pamoja maana wote wana hisa sawa 33.3% na wako watatu.Hapa sijui kwanini sijaelewa!! why are they selling shares to the remaining stakeholders and proceeds from the sale of shares get re-invested in the same project? Pascal Mayalla najua umesomea haya mambo naomba msaada.
Hii sana sana ilikuwa project ya Uganda,kwa hiyo kwetu sio deal saana.Ofcourse watu wetu wangepanda tuvibarua huko,lakini kwetu it is not a major set back.It is however a big set to Uganda.Hivi majuzi kulikuwa na kutoelewana kati ya Total na Tullow kuhusu ununuaji wa Hisa:
Kampuni ya Uchimbaji mafuta Uganda yavunja Mkataba na TOTAL. Je, maslahi yetu kwenye Bomba la Mafuta yatakuwaje?
Kampuni ya uchimbaji mafuta ya TULLOW ya nchini Uganda imevunja mkata wake na kampuni ya TOTAL ya Ufaransa na ile COON ya China kutokana na utata uliojitokexa kwenye maswala ya ushuru. Source: ITV habari My take: Maslahi ya Tanzania kwenye bomba la mafuta yanaweza kupata changamoto yoyote...www.jamiiforums.com
Sasa Total SA Imetangaza kuwa mpango huo umesitishwa.
***************************************************
Total SA has suspended its planned $3.5 billion crude export pipeline from Uganda to Tanzania after the collapse of a deal to buy a stake in Tullow Oil Plc’s oil fields in Uganda.
The French oil major has terminated all activities related to the 1,445-kilometer (898-mile) conduit from its crude fields in Uganda to Tanga in Tanzania because shared ownership in the project was to be determined upon the completion of the Tullow deal, an official familiar with the project at Total’s Ugandan office said.
Last week, Tullow Oil was forced to abandon plans to sell a stake in its Ugandan project to Total and China’s Cnooc Ltd. and restart the process from scratch after tax negotiations stymied the deal. The termination of the agreement was a blow to Tullow, which had sought partners to help it develop about 1.5 billion barrels of recoverable oil in its Ugandan fields.
After Tullow discovered oil in landlocked Uganda in 2006, the country made ambitious plans to construct a 216,000-barrel-a-day pipeline and a refinery. Its anticipated time line for delivering first oil from the project was adjusted multiple times. A recent government estimate stated that it would come online in 2022. A final investment decision on the project was targeted for the end of this year.
The project’s partners and Uganda’s government will have to come up with a “sensible new target” to give it the green light, Tullow Chief Executive Officer Paul McDade said after the company announced it planned to scrap the stake sale.
Total E&P Uganda, which was leading the pipeline project, dismissed employees who were set to undertake works on it, the official said. The explorer was involved in initial land acquisition in both countries, the official said.
Cnooc Uganda Ltd., which is jointly developing the country’s crude finds, suspended at least 12 employees following delays on the project, a company official familiar with the matter said by phone without providing further details.
Total declined to comment.
Do not overly blow the situation out of propotion.The breakdown of the deal is not a big setback to Tanzania.This was a Ugandan Project,Tanzania was only going to benefit through land provision,employment oppotunities and other misceleneous activities.So you see it's not a big deal to Tanzania.This is a big blow to Uganda and Tanzania. Normally, when big guys move away, they scare everybody. Who is going to team up with Tullow in the next team formation for the project? Don't tell me Chinese...it would be the pain in the ass
Mwaka wa tabu... Na mbwembwe zote zile huu mradi umeangukia pua?
Do not overly blow the situation out of propotion.The breakdown of the deal is not a big setback to Tanzania.This was a Ugandan Project,Tanzania was only going to benefit through land provision,employment oppotunities and other misceleneous activities.So you see it's not a big deal to Tanzania.
By the way if the deal between Total SA and Tullow has broken down,I do not see why the Chinese should not be invited to take up the Project,they are good after all,inspite of the West always unnecessarily and unfairly demonizing them.Unfortunately you are also doing the same.
LolKwa ninavyomjua Magufuli huo mradi utatekelezwa kwa mfumo tofauti.
Kwenye mambo ya fursa za kiuchumi, Magufuli utumia njia zote bila kujali maumivu kiasi gani Nchi itapata ikiwa na manufaa ya kizazi kijacho cha Tanzania.
Si ajabu kashapata solution anamsubiri tu Museveni aje amwambie.
“Huu mradi tutautekeleza wenyewe kwa pesa zetu” in magufuli’s voice
Lets wait and see but that is my prediction
Wapiga dili tu hao. Mbona arab contractors wao wapo kule rufij delta.Utunzaji wa Mazingira, Wanyama Pori,Haki za binadamu haswa waandishi wa habari zimewaondoa TOTAL
Hili linajulikana.Sera zenu za uwekezaji sio rafiki na salama. Kwa kifupi,hazitabiriki
Wewe nadhani akili kichwa hakuna.Kumbe bado mnahitaji kusaidiwa?
Seriously?mbona mnawaita majina ya ajabu ajabu hao wazungu?