FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,842
- 40,431
Nimeshtuka sana niliposikia kwamba hadi leo hii Tanzania bado inasafirisha mafuta toka bandarini Dar mpaka Mwanza kwa kutumia petroleum tankers..!! my God!!, hii ni sawa na wananchi wa Dar tuwe tunafunga safari kwenda Ruvu kuchota maji na ndoo kichwani huku tunaweza kuyasubiri huku huku yaletwe na bomba..! Inabidi tufahamu ni gharama kiasi gani inahitajika kusafirisha hayo mafuta kwa lori + gharama za uharibifu wa barabara + upotevu wa rasilimali muda + inconvenience then tufanye comparison ya cost ya kujenga bomba la mafuta.., tukishafahamu hizi data then tutaweza ku-deduce ni kwa kiasi gani wahusika wanawazimu..!!!