dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,698
- 3,083
Achana na wanaoongea bila kuijua biashara,
La muhimu hapo ni wewe kuchukua muda kuisoma biashara, mtaji wa 5M ni mkubwa weka angalau 3M the rest weka fixed account, dont be tempted kuongeza mtaji wa biashara atleast for a year, na ukiongeza usiongeze the rest of the money bali ongeza robo ya akiba yako then utaongeza kidogo kidogo namna hiyo mpaka ukomae ktk business.
La msingi: It takes 3-5 years kumaster any business, au kujua mzunguko halisi wa biashra, after this period ndo utajihesabu kama mfanyabiashara kamili. before that jihesabu uko kwenye practical training ya business.
La muhimu hapo ni wewe kuchukua muda kuisoma biashara, mtaji wa 5M ni mkubwa weka angalau 3M the rest weka fixed account, dont be tempted kuongeza mtaji wa biashara atleast for a year, na ukiongeza usiongeze the rest of the money bali ongeza robo ya akiba yako then utaongeza kidogo kidogo namna hiyo mpaka ukomae ktk business.
La msingi: It takes 3-5 years kumaster any business, au kujua mzunguko halisi wa biashra, after this period ndo utajihesabu kama mfanyabiashara kamili. before that jihesabu uko kwenye practical training ya business.