Bollen Ngetti: Taifa linavuja Damu

tumeshajua dawa yenu ndogo tu. Ni mwendo wa kuwabambika kesi za money laundering baasi
Hata nyie ni wafungwa watarajiwa jela haina mwenyewe magodoro waliyolalia wabambikwa ndio mtakayoyalalia.Mtu aliyeelimika huwa atembei gizani.
 
Return Of Undertaker,
Wewe uliniteka hakuna aliyehangaika na wewe sasa naona unatafuta kiki za kutekwa kwa udi na uvumba. Huna mvuto wa kutekwa, endelea kubwabwaja
 
TAIFA LINAVUJA DAMU!

Na Bollen Ngetti

NAWASALIMU marafiki zangu wote kwa matumaini kuwa hamjambo. Ukimya wangu unawaumiza wengi wenu na kuwafurahisha wachache wenu. Ninapitia kipindi kigumu sana kiusalama kwa hiyo nafasi inapopatikana ndipo tunaweza kutafakari kama sasa.

Hali ya mambo nchini kwa sasa ni ya kukatisha tamaa na hakuna maneno matamu zaidi Taifa kuvuja damu. Nimetafuta mchora picha anichoree Tanzania inayovuja damu nimekosa ndio maana andiko hili halina picha.

Ndugu zangu, miezi kadhaa niliandika nikionya kuwa njaa yaja nikabezwa mno na mkuu wa nchi akasema "hakuna chakula cha bure" na ole wake DC ataayegawa chakula. Sasa huko Shinyanga baa la njaa ni tete na wanagawiwa chakula cha bure. Tulipuuza maonyo, Taifa linavuja damu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekuja ukapita kama upepo na laana juu. Hakuna waliochaguliwa wala hakuna waliopiga kura. Wababe wamejitangazia ushindi. Taifa linavuja damu. Vijana wamekata tamaa si tu kushiriki siasa lakini hata maisha. Taifa linavuja damu.

Rais anasema huko Udom kuna watu wanamkatisha tamaa lakini hatokata tamaa. Lakini amesahau kuwa ni wateule wake ndio Mayuda Isariote wanaomsaliti kwa tamaa ya kushibisha matumbo yao. Tunaona Mkurugenzi wa moja ya mkoa kanda ya ziwa akishinda Kigamboni kuporomosha mahekalu ukimuuliza anakwambia JPM rais wa wanyonge. Taifa linavuja damu.

Niseme kidogo kuhusu Yuda aliyekuwa mwanafunzi wa mwisho kuteuliwa na Bwana Mkubwa lakini malengo yake yakiwa ni kutengeneza faida si uzalendo wa kiimani ndio maana ikawa rahisi kumuuza Yesu kwa fedha. Hawa mayuda yamemzunguka Magufuli wanaotumia umaarufu wake kutengeneza faida si kutumikia umma. Wanamsaliti Magufuli. Ndege yetu inakamatwa Canada wanamdanganya bosi wao. Taifa linavuja damu.

Miradi inayotatiza uchumi inajengwa bila ridhaa ya umma kupitia bunge sawa na baba anayejenga tiles kila mahali lakini watoto wakilala njaa. Taifa linavuja damu.

Tundu Lissu amegoma kurudi nchini akihofia kuuawa. Demokrasia imetoweka nchini Tanzania. Taifa linavuja damu.

Gharama za maisha imepanda kila mahali hadi washirikina wanalia. Taifa linavuja damu. Viongozi wa dini ambao wangeponya Taifa nao wanavuja damu. Mbele ni kiza kinene. Hata hivyo,
#AchaWoga2020

Na Bollen Ngetti
Nimesoma mwanzo mwisho but ngoja tumwachie Mungu kama haya ni ya kweli, Mungu hawez kuruhusu wachache watuharibie nchi yetu hata kama ni watawala lazima awaondoe kwa namna yoyote ile,
Ngoja waje mayuda wa Lumumba hawafikir taifa bali matumbo yao
 
TAIFA LINAVUJA DAMU!

Na Bollen Ngetti

NAWASALIMU marafiki zangu wote kwa matumaini kuwa hamjambo. Ukimya wangu unawaumiza wengi wenu na kuwafurahisha wachache wenu. Ninapitia kipindi kigumu sana kiusalama kwa hiyo nafasi inapopatikana ndipo tunaweza kutafakari kama sasa.

Hali ya mambo nchini kwa sasa ni ya kukatisha tamaa na hakuna maneno matamu zaidi Taifa kuvuja damu. Nimetafuta mchora picha anichoree Tanzania inayovuja damu nimekosa ndio maana andiko hili halina picha.

Ndugu zangu, miezi kadhaa niliandika nikionya kuwa njaa yaja nikabezwa mno na mkuu wa nchi akasema "hakuna chakula cha bure" na ole wake DC ataayegawa chakula. Sasa huko Shinyanga baa la njaa ni tete na wanagawiwa chakula cha bure. Tulipuuza maonyo, Taifa linavuja damu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekuja ukapita kama upepo na laana juu. Hakuna waliochaguliwa wala hakuna waliopiga kura. Wababe wamejitangazia ushindi. Taifa linavuja damu. Vijana wamekata tamaa si tu kushiriki siasa lakini hata maisha. Taifa linavuja damu.

Rais anasema huko Udom kuna watu wanamkatisha tamaa lakini hatokata tamaa. Lakini amesahau kuwa ni wateule wake ndio Mayuda Isariote wanaomsaliti kwa tamaa ya kushibisha matumbo yao. Tunaona Mkurugenzi wa moja ya mkoa kanda ya ziwa akishinda Kigamboni kuporomosha mahekalu ukimuuliza anakwambia JPM rais wa wanyonge. Taifa linavuja damu.

Niseme kidogo kuhusu Yuda aliyekuwa mwanafunzi wa mwisho kuteuliwa na Bwana Mkubwa lakini malengo yake yakiwa ni kutengeneza faida si uzalendo wa kiimani ndio maana ikawa rahisi kumuuza Yesu kwa fedha. Hawa mayuda yamemzunguka Magufuli wanaotumia umaarufu wake kutengeneza faida si kutumikia umma. Wanamsaliti Magufuli. Ndege yetu inakamatwa Canada wanamdanganya bosi wao. Taifa linavuja damu.

Miradi inayotatiza uchumi inajengwa bila ridhaa ya umma kupitia bunge sawa na baba anayejenga tiles kila mahali lakini watoto wakilala njaa. Taifa linavuja damu.

Tundu Lissu amegoma kurudi nchini akihofia kuuawa. Demokrasia imetoweka nchini Tanzania. Taifa linavuja damu.

Gharama za maisha imepanda kila mahali hadi washirikina wanalia. Taifa linavuja damu. Viongozi wa dini ambao wangeponya Taifa nao wanavuja damu. Mbele ni kiza kinene. Hata hivyo,
#AchaWoga2020

Na Bollen Ngetti

Kadiri wachache wenu, mnaowakilisha matumbo yenu, mnajikita kwenye mitandao ya kijamii, ambayo mnaitumia kuuambia ulimwengu, hasa mataifa ya nje yaliyotutawala kisiasa na sasa kiuchumi, kwamba Tanzania siyo salama, mawazo na hoja zenu zinashia huku huku mitandaoni.

Viongozi wenu ni mashetani ndani ya miili ya binadamu kwani nao wanatumia vyombo vya habari kuikandia Serikali ati inahangaika na maendeleo ya vitu na siyo watu. Nawe unadai ati Miradi inayotatiza uchumi inajengwa bila ridhaa ya umma.

Najiuliza ni kiasi gani wewe na hao viongozi wako mnajua uhusiano kati ya maendeleo ya watu na vitu. Kwa mfano kwa sasa kuna masika yanayoharibu miundo mbinu ya usafiri hasa barabara kunakosababisha hali ngumu ya maisha ya watu ikiwamo kupata hudumu muhimu za maisha (afya na elimu).

Kwamba unadai ati Ninapitia kipindi kigumu sana kiusalama kwa hiyo nafasi inapopatikana ndipo tunaweza kutafakari kama sasa, je, umejiuliza wewe kama wewe una mchango gani kudumisha amani iwapo unatoa madai ya aina hiyo kwa kutumia ID inayokuficha usijulikane wakati unao wawakilishi wako na kuna vikao halali vya kufikisha hayo malalamiko yako badala ya njia hii.

Wewe ni MNAFIKI wa kiwango cha juu. TUNAPOTEZEA na KUKUDHARAU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Bollen ngeti ni mwanasiasa uliyejificha kwenye mgongo wa uandishi wa habari?

Mara ngapi kwa hila maalum umehojiwa na vyombo vya habari vya nje ukijifanya mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mwanahabari?

Kumbe ni pro membe mtumiwa mkubwa wewe!

Unakumbana na ulichokistahili kabisa!

Mko wengi wa type yenu na mtakwama kwa nguvu za mungu!
Watanzania tunawaona sana,

Tunamuombea maisha marefu kiongozi wetu mpendwa JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

2020 - 2025

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama ww unavyofaidika na Magufuli na kumsifia, hata yeye anafaidika na Membe na ana haki ya kumsifia maana ni mtanzania. Msituchanganye watanzania wote kwenye maslahi yenu binafsi ya hao viongozi.
 
TAIFA LINAVUJA DAMU!

Na Bollen Ngetti

NAWASALIMU marafiki zangu wote kwa matumaini kuwa hamjambo. Ukimya wangu unawaumiza wengi wenu na kuwafurahisha wachache wenu. Ninapitia kipindi kigumu sana kiusalama kwa hiyo nafasi inapopatikana ndipo tunaweza kutafakari kama sasa.

Hali ya mambo nchini kwa sasa ni ya kukatisha tamaa na hakuna maneno matamu zaidi Taifa kuvuja damu. Nimetafuta mchora picha anichoree Tanzania inayovuja damu nimekosa ndio maana andiko hili halina picha.

Ndugu zangu, miezi kadhaa niliandika nikionya kuwa njaa yaja nikabezwa mno na mkuu wa nchi akasema "hakuna chakula cha bure" na ole wake DC ataayegawa chakula. Sasa huko Shinyanga baa la njaa ni tete na wanagawiwa chakula cha bure. Tulipuuza maonyo, Taifa linavuja damu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekuja ukapita kama upepo na laana juu. Hakuna waliochaguliwa wala hakuna waliopiga kura. Wababe wamejitangazia ushindi. Taifa linavuja damu. Vijana wamekata tamaa si tu kushiriki siasa lakini hata maisha. Taifa linavuja damu.

Rais anasema huko Udom kuna watu wanamkatisha tamaa lakini hatokata tamaa. Lakini amesahau kuwa ni wateule wake ndio Mayuda Isariote wanaomsaliti kwa tamaa ya kushibisha matumbo yao. Tunaona Mkurugenzi wa moja ya mkoa kanda ya ziwa akishinda Kigamboni kuporomosha mahekalu ukimuuliza anakwambia JPM rais wa wanyonge. Taifa linavuja damu.

Niseme kidogo kuhusu Yuda aliyekuwa mwanafunzi wa mwisho kuteuliwa na Bwana Mkubwa lakini malengo yake yakiwa ni kutengeneza faida si uzalendo wa kiimani ndio maana ikawa rahisi kumuuza Yesu kwa fedha. Hawa mayuda yamemzunguka Magufuli wanaotumia umaarufu wake kutengeneza faida si kutumikia umma. Wanamsaliti Magufuli. Ndege yetu inakamatwa Canada wanamdanganya bosi wao. Taifa linavuja damu.

Miradi inayotatiza uchumi inajengwa bila ridhaa ya umma kupitia bunge sawa na baba anayejenga tiles kila mahali lakini watoto wakilala njaa. Taifa linavuja damu.

Tundu Lissu amegoma kurudi nchini akihofia kuuawa. Demokrasia imetoweka nchini Tanzania. Taifa linavuja damu.

Gharama za maisha imepanda kila mahali hadi washirikina wanalia. Taifa linavuja damu. Viongozi wa dini ambao wangeponya Taifa nao wanavuja damu. Mbele ni kiza kinene. Hata hivyo,
#AchaWoga2020

Na Bollen Ngetti
Usituharibie nchiyetu kwa njaa yako.kama umeshindwa kuishi kwa uandishi wa habari rudi kwenu kaanze kulima matikiti maji utapata pesa nyingi kuliko kuishi kwa kutaka kuwafurahisha mabwana zako wa nje,kumbuka wao kwao ni salama,lakini wewe sijui ukikimbia kikiumana hapa utakimbia na ukoo wako mzima?acha ujinga Boleni hao wazungu wanakudanganya wao wana yao,usiwe kibaraka wao.
 
H
Kama ww unavyofaidika na Magufuli na kumsifia, hata yeye anafaidika na Membe na ana haki ya kumsifia maana ni mtanzania. Msituchanganye watanzania wote kwenye maslahi yenu binafsi ya hao viongozi.
Huyo Membe wako ana manufaa gani kwetu watu milioni 50?
 
TAIFA LINAVUJA DAMU!

Na Bollen Ngetti

NAWASALIMU marafiki zangu wote kwa matumaini kuwa hamjambo. Ukimya wangu unawaumiza wengi wenu na kuwafurahisha wachache wenu. Ninapitia kipindi kigumu sana kiusalama kwa hiyo nafasi inapopatikana ndipo tunaweza kutafakari kama sasa.

Hali ya mambo nchini kwa sasa ni ya kukatisha tamaa na hakuna maneno matamu zaidi Taifa kuvuja damu. Nimetafuta mchora picha anichoree Tanzania inayovuja damu nimekosa ndio maana andiko hili halina picha.

Ndugu zangu, miezi kadhaa niliandika nikionya kuwa njaa yaja nikabezwa mno na mkuu wa nchi akasema "hakuna chakula cha bure" na ole wake DC ataayegawa chakula. Sasa huko Shinyanga baa la njaa ni tete na wanagawiwa chakula cha bure. Tulipuuza maonyo, Taifa linavuja damu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekuja ukapita kama upepo na laana juu. Hakuna waliochaguliwa wala hakuna waliopiga kura. Wababe wamejitangazia ushindi. Taifa linavuja damu. Vijana wamekata tamaa si tu kushiriki siasa lakini hata maisha. Taifa linavuja damu.

Rais anasema huko Udom kuna watu wanamkatisha tamaa lakini hatokata tamaa. Lakini amesahau kuwa ni wateule wake ndio Mayuda Isariote wanaomsaliti kwa tamaa ya kushibisha matumbo yao. Tunaona Mkurugenzi wa moja ya mkoa kanda ya ziwa akishinda Kigamboni kuporomosha mahekalu ukimuuliza anakwambia JPM rais wa wanyonge. Taifa linavuja damu.

Niseme kidogo kuhusu Yuda aliyekuwa mwanafunzi wa mwisho kuteuliwa na Bwana Mkubwa lakini malengo yake yakiwa ni kutengeneza faida si uzalendo wa kiimani ndio maana ikawa rahisi kumuuza Yesu kwa fedha. Hawa mayuda yamemzunguka Magufuli wanaotumia umaarufu wake kutengeneza faida si kutumikia umma. Wanamsaliti Magufuli. Ndege yetu inakamatwa Canada wanamdanganya bosi wao. Taifa linavuja damu.

Miradi inayotatiza uchumi inajengwa bila ridhaa ya umma kupitia bunge sawa na baba anayejenga tiles kila mahali lakini watoto wakilala njaa. Taifa linavuja damu.

Tundu Lissu amegoma kurudi nchini akihofia kuuawa. Demokrasia imetoweka nchini Tanzania. Taifa linavuja damu.

Gharama za maisha imepanda kila mahali hadi washirikina wanalia. Taifa linavuja damu. Viongozi wa dini ambao wangeponya Taifa nao wanavuja damu. Mbele ni kiza kinene. Hata hivyo,
#AchaWoga2020

Na Bollen Ngetti
What is this nonsense?
 
Mkurugenzi wa kanda ya ziwa anayejenga "MAHEKALU" huko Kigamboni ndio yupi huyo? Kiomoni Kibamba au?
 
Magufuli piga kazi mzee baba, tuliishi maisha ya kuigiza Sana. Haya ndio maisha halisi. Wanaovuja damu Sasa wengiwao ni wale waliowakamua wenzao jasho na damu enzi hizo Sasa zinawatokea puani. Japo wachache dhahama imewasomba kimakosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unafahamu namna ambavyo Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa na Majiji wanavyojilimbikizia mali katika utawala huu? Ama na wewe ni mmoja wapo kati ya hao? Puumbavu zenu.
 
TAIFA LINAVUJA DAMU!

Na Bollen Ngetti

NAWASALIMU marafiki zangu wote kwa matumaini kuwa hamjambo. Ukimya wangu unawaumiza wengi wenu na kuwafurahisha wachache wenu. Ninapitia kipindi kigumu sana kiusalama kwa hiyo nafasi inapopatikana ndipo tunaweza kutafakari kama sasa.

Hali ya mambo nchini kwa sasa ni ya kukatisha tamaa na hakuna maneno matamu zaidi Taifa kuvuja damu. Nimetafuta mchora picha anichoree Tanzania inayovuja damu nimekosa ndio maana andiko hili halina picha.

Ndugu zangu, miezi kadhaa niliandika nikionya kuwa njaa yaja nikabezwa mno na mkuu wa nchi akasema "hakuna chakula cha bure" na ole wake DC ataayegawa chakula. Sasa huko Shinyanga baa la njaa ni tete na wanagawiwa chakula cha bure. Tulipuuza maonyo, Taifa linavuja damu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekuja ukapita kama upepo na laana juu. Hakuna waliochaguliwa wala hakuna waliopiga kura. Wababe wamejitangazia ushindi. Taifa linavuja damu. Vijana wamekata tamaa si tu kushiriki siasa lakini hata maisha. Taifa linavuja damu.

Rais anasema huko Udom kuna watu wanamkatisha tamaa lakini hatokata tamaa. Lakini amesahau kuwa ni wateule wake ndio Mayuda Isariote wanaomsaliti kwa tamaa ya kushibisha matumbo yao. Tunaona Mkurugenzi wa moja ya mkoa kanda ya ziwa akishinda Kigamboni kuporomosha mahekalu ukimuuliza anakwambia JPM rais wa wanyonge. Taifa linavuja damu.

Niseme kidogo kuhusu Yuda aliyekuwa mwanafunzi wa mwisho kuteuliwa na Bwana Mkubwa lakini malengo yake yakiwa ni kutengeneza faida si uzalendo wa kiimani ndio maana ikawa rahisi kumuuza Yesu kwa fedha. Hawa mayuda yamemzunguka Magufuli wanaotumia umaarufu wake kutengeneza faida si kutumikia umma. Wanamsaliti Magufuli. Ndege yetu inakamatwa Canada wanamdanganya bosi wao. Taifa linavuja damu.

Miradi inayotatiza uchumi inajengwa bila ridhaa ya umma kupitia bunge sawa na baba anayejenga tiles kila mahali lakini watoto wakilala njaa. Taifa linavuja damu.

Tundu Lissu amegoma kurudi nchini akihofia kuuawa. Demokrasia imetoweka nchini Tanzania. Taifa linavuja damu.

Gharama za maisha imepanda kila mahali hadi washirikina wanalia. Taifa linavuja damu. Viongozi wa dini ambao wangeponya Taifa nao wanavuja damu. Mbele ni kiza kinene. Hata hivyo,
#AchaWoga2020

Na Bollen Ngetti
Wewe kaa huko huko kwa mabwana zako unaodhani ni wema kwako,tuachie Tanzania yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom