Hii ilikuwaje mkuu, sikuipata.Sema kapigwa pasi tuu, mzinga wa kupangwa ni kama ule wa Jenerali Ulimwengu na ule wa Heleni Bi Kijo Simba unachungulia kaburi kabisa
Wanaoua na kutaka kuua wengine wenyewe wanadhani wataishi milele?
Mbona ni miaka 60 mmeshindwaWazushi kama kawaida yenu. CCM haitang'olewa kwa Uzushi na ' Upumbavu ' huu bali itang'olewa kwa Sera na labda Kushindwa Kwake kuwapa Wananchi Maendeleo.
MTU dhaifu na asiyejiamini uamini matumizi ya nguvu badala ya hojaWanaoua na kutaka kuua wengine wenyewe wanadhani wataishi milele?
Sema kapigwa pasi tuu, mzinga wa kupangwa ni kama ule wa Jenerali Ulimwengu na ule wa Heleni Bi Kijo Simba unachungulia kaburi kabisa
Yego mura umekuraaaaa (umekula)
Mbona ni miaka 60 mmeshindwa
fanya kazi acha porojo...Wanaoua na kutaka kuua wengine wenyewe wanadhani wataishi milele?
Uzinzi, upumbavu, urofa, na ushirikina ndo vimekithiri nchi hii, utakuta mtu ni msomi lakini anachangia hoja Kama akili yake iko matakoni, si lazima kachangia hoja zote Kama huna uhakika, pia ni vema kachangia ukiangalia wenzako wameanzia wapi pia je Kuna uhakika au la, maana kesho likijibiwa kivingine na WWE umechangia ujinga hivi utajisikiaje mwenyewe. Huo ndo urofa,
Katika Kiswahili Sanifu na Fasaha huwa hatuna neno ' Urofa ' kama uliloliandika Wewe hapo bali tuna neno sahihi na zuri la ' Ulofa '. Siku zinigine unapokuwa unasema kuwa Watu wawe na umakini katika Uchangiaji Wao basi hakikisha na Wewe pia uwe uko vizuri na huna Mapungufu yoyote ili usije ukachekwa na hadi kuonekana ni ' Popoma Mwandamizi ' kama walivyo wengineo wengi tu.
Yaani ulichokifanya hapa ni sawa na Kukemea Watoto wa Jirani yako kwa tabia yao mbaya ya Kukojoa Vitandani mwao wakati kumbe Wewe Nyumbani Kwako Mwanao ndiyo ' ametukuka ' kabisa kwa ' Kujinyea ' KItandani kiasi kwamba Wadada wa Kazi wote wanaokuja Kufanya Kazi Kwako hulazimika Kukimbia kwa Kuchoka kila Uchao Kufua ' Mimavi ' ya Mwanao ' Baby Kunya Kunya ' hovyo.
Wa JU na HKB ilikuwaje mkuuSema kapigwa pasi tuu, mzinga wa kupangwa ni kama ule wa Jenerali Ulimwengu na ule wa Heleni Bi Kijo Simba unachungulia kaburi kabisa
Waambie MwingerezaMlivyo ' Wapuuzi ' yaani mkishajua tu kuwa Fulani ni ' Mkosoaji ' wa Serikali ya Awamu hii basi akipatwa na hata tatizo linalotokana na ' Upopoma Uwandamizi ' wake au hata la ' Kibinadamu ' tu ( accidentally ) haraka sana mtalihusianisha na kwamba CCM au ' Security Organs ' za nchi zimehusika kwa 100%. Waswahili mna taabu mno kama siyo sana na sishangai ndiyo maana nchi Jirani zinawadharau mno kwani mnawekeza katika Majungu, Fitna na Harakati za ' Kipopoma ' badala ya Kupambana Kujenga nchi kwa Maslahi mapana ya Mama Tanzania.
Mwezi bado unaandama dahMlivyo ' Wapuuzi ' yaani mkishajua tu kuwa Fulani ni ' Mkosoaji ' wa Serikali ya Awamu hii basi akipatwa na hata tatizo linalotokana na ' Upopoma Uwandamizi ' wake au hata la ' Kibinadamu ' tu ( accidentally ) haraka sana mtalihusianisha na kwamba CCM au ' Security Organs ' za nchi zimehusika kwa 100%. Waswahili mna taabu mno kama siyo sana na sishangai ndiyo maana nchi Jirani zinawadharau mno kwani mnawekeza katika Majungu, Fitna na Harakati za ' Kipopoma ' badala ya Kupambana Kujenga nchi kwa Maslahi mapana ya Mama Tanzania.