BOLIVIA : Rais Morales anaswa akitazama video za ngono mahakamani

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
153b28685981a90bf74f456a48a0a804.jpg
Rais wa Bolivia, Evo Morales amekumbwa na fedheha kubwa baada ya simu yake kutoa sauti zinazoaminika ni za watu wanaofanya ngono wakati akiwa ndani ya mahakama

Mkasa huo umetokea wakati Rais huyo akiwa katika mazungumzo na wanasheria wa kimataifa kabla ya kuchukua simu yake na muda mfupi sauti za mwanamke na miguno zinasikika kutoka kwenye simu hiyo ndipo ghafla akaitupa chini

Video hiyo iliyovujishwa na mtandao wa LiveLeak. com imewaacha watu wengi waliokuwa ndani ya mahakama hiyo wakicheka kufuatia tukio hilo huku baadhi wakiishia kuguna

Itazame hapa video hiyo ya mkasa wa Rais Bolivia.
 
Tatizo lake nikutojiamini maana watu wengi wanaangalia hizo picha. Tena kama angechulia poa hata scandle isingezagaa zaid. Amin unachofanya.
 
Rais wa Bolivia jembe sana

Mwaka 2014 alipewa mkataba na timu inayoshiriki ligi kuu na aliandaliwa mshahara lakini alikataa


Rais Morales alimtimua balozi wa USA nchini kwake pia akawatimua watu wa USAID

Mwaka 2014 kwenye mkutano wa umoja wa Mataifa morales alimuita Obama imperialist

Marais wa Amerika kusini majembe sana wanafanana kitabia kuanzia Morales ,Chavez,Fidel makauzu hawana aibu ,

Hapo kwenyewe itakuwa kachukulia poa tu
 
Watanzania wakimpata huyu rais sidhani kama watalalamika juu ya utawala wake. Manake matendo yao yanafanana ya rais na wananchi kwa ngono.:p:D:D
 
Unaweza kukuta cia wamemtumia scarm yeye akajua hata bonge la news kufungua majanga
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Porn is a hell of a drug. Mtu unapoteza muda wa thamani, unaathirika kisaikolojia na kimtazamo, unakosa focus maishani na 24/7 unawaza migegedano tu. Asante Yesu kwa kunitoa katika kifungo hicho cha aibu!
Vilevi (drug) ni vingi, hata wewe huenda unacho chako ambacho Morales akikusikia atakushangaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom