Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,380
Huyu masikini jingalao aliunga mkono kila utopolo wa jiwe akidhani atakuwa Rais wa milele , Hawa vijana wachumia tumbo wa ccm ni bure kabisa !Aliyelilea hili likiwa mchicha hadi limekuwa mbuyu umesahau alihitaji kuondoa ukomo madarakani?