Boksi la Kura na njama za CCM

Giddy Mangi

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
830
184
Matukio yanayopelekea Ccm kushinda siyo Sera na Imani ya Wananchi kwa Chama bali nguvu kubwa inayotumiwa na Serikali dhidi ya Upinzani,Mfano Magari yaliyotumika kwenye Chaguzi zote mengi ni mali ya Serikali allowance za Serikali/mpaka imepelekea Uchaguzi wa Igunga kufanya Mishahara ya wafanyakazi wa Serikali kucheleweshewa malipo hadi leo.Iwapo Chadema watapata zaidi ya kura 25000 inamaana Ccm wamefanya hujma.Imefikia mahali Ccm kihalali hawezi shindana hata na jiwe.
 
Hivyo ulitafakari kabla ya kuiandika thread hii? Mbona hueleweki? Kichwa cha habari na maudhui ni vitu tofauti. Tuambie juu ya Boksi la kura na uhusika wa CCM kwenye hilo, mkuu. This is a home for great thinkers!
 
Matukio yanayopelekea Ccm kushinda siyo Sera na Imani ya Wananchi kwa Chama bali nguvu kubwa inayotumiwa na Serikali dhidi ya Upinzani,Mfano Magari yaliyotumika kwenye Chaguzi zote mengi ni mali ya Serikali allowance za Serikali/mpaka imepelekea Uchaguzi wa Igunga kufanya Mishahara ya wafanyakazi wa Serikali kucheleweshewa malipo hadi leo.Iwapo Chadema watapata zaidi ya kura 25000 inamaana Ccm wamefanya hujma.Imefikia mahali Ccm kihalali hawezi shindana hata na jiwe.
Matokeo hayaja toka lakini povu limeshaanza kukutoka, naona unachanganya maneno sasa. hiyo topic na maelezo yako ni tofauti kabisa. Mi naona bora uandike kichaga
 
Elimu duni ya uraia na umaskini wa wapiga kura hasa wale wa maeneo ya vijijini ni mtaji mkubwa sana wa CCM.
 
Hivyo ulitafakari kabla ya kuiandika thread hii? Mbona hueleweki? Kichwa cha habari na maudhui ni vitu tofauti. Tuambie juu ya Boksi la kura na uhusika wa CCM kwenye hilo, mkuu. This is a home for great thinkers!

matatizo ya kufaulu kwa madesa(UDSM or Mzumbe) au Simbi (SUA)...mbona heading ipo sawa na contents??? mnataka pointi ziwe peupeee!!! ndio nyinyi mnaokariri 2+3=5 ila swali likigeuzwa 3+2 mnakosa. Fikiri kwa kichwa na si kwa masaburi
 
Matukio yanayopelekea Ccm kushinda siyo Sera na Imani ya Wananchi kwa Chama bali nguvu kubwa inayotumiwa na Serikali dhidi ya Upinzani,Mfano Magari yaliyotumika kwenye Chaguzi zote mengi ni mali ya Serikali allowance za Serikali/mpaka imepelekea Uchaguzi wa Igunga kufanya Mishahara ya wafanyakazi wa Serikali kucheleweshewa malipo hadi leo.Iwapo Chadema watapata zaidi ya kura 25000 inamaana Ccm wamefanya hujma.Imefikia mahali Ccm kihalali hawezi shindana hata na jiwe.

Kichapo kimewapa kichaa watu....hebu tuliza kichwa...
 
Ccm wanatumia ujinga wa wananchi kama mtaji wao.
 
CUF ni Mdudu mbaya anayeishi kwenye nguo zetu, tulishaikataa CCM lakini baadhi yetu tunaivaa CUF. Hawa ndio hao hao wanaonyonya damu zetu na kuwapelekea CCM. Ni jambo la kusikitisha kwamba wamekubali kuwa kupe wasiofaidi damu wanayoinyonya wenyewe, mwelekeo ni kwamba hii ya Igunga haiwezekani CUF wakawa na kura chache kiasi hicho kulingana na ushindani ulivyokuwa. Kinachoonekana hapa CCM waliwatumia sana CUF ili kura zitakazoenda CUF zihamishiwe CCM baadaye, na ndicho kilichofanyika hapo Igunga. Mh. Mahona anapendwa sana tangu hata alipopambana na Rostam, CUF wametumia sana Chopa na haiwezekani vituo vingi CUF wapate kura 1, au 5, au 3... haileti picha. Hii inaonyesha pia Mahona wa CUF siku ya mwisho alipigana kwa kuelekezwa, na atakuwa ameahidiwa jambo ambalo tutaliona matokeo yake sio siku nyingi.

CUF ni Mdudu anayeishi kwenye nguo zetu na kutunyonya damu anayowapa CCM tuliowakataa, CUF ni shetani anayeishi kwenye nyumba zetu anayeiba mali zetu na kuwapelekea CCM tuliowakataa. Sio kificho tena kwamba CUF = CCM, it's official now. Tumkatate huyu Mdudu ama Shetani anayeishi kwenye nyumba zetu kama ndugu yetu kumbe anatunyonya kwa siri.
 
Back
Top Bottom