Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Matukio yanayopelekea Ccm kushinda siyo Sera na Imani ya Wananchi kwa Chama bali nguvu kubwa inayotumiwa na Serikali dhidi ya Upinzani,Mfano Magari yaliyotumika kwenye Chaguzi zote mengi ni mali ya Serikali allowance za Serikali/mpaka imepelekea Uchaguzi wa Igunga kufanya Mishahara ya wafanyakazi wa Serikali kucheleweshewa malipo hadi leo.Iwapo Chadema watapata zaidi ya kura 25000 inamaana Ccm wamefanya hujma.Imefikia mahali Ccm kihalali hawezi shindana hata na jiwe.