wakuu hii imekaa vipi? Nilikuwa nawatch tbc naona habari kuwa kituo cha mafuta cha serikali kimetoa mafuta ya petroli yaliyochakachuliwa.... Sasa kama kituo cha serikali kinatoa mafuta yaliochakachuliwa vipi vituo binfsi?
Comrade hii ndiyo Tanzania iliyobaki watu wakiambiwa wanashupaza shingo zao ona sasa kama walichakachua mafuta ya gari ya jk kule moshi watashindwa hayo? mkuu mwenyewe amechakachuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.