BOEING wajitokeza na kutoa ufafanuzi wa uundwaji wa ndege mpya ya ATCL

Hao Wakaguzi wakibongo Wanafanyeje hapo? Ukute hata lugha ni ngumu kuielewa Halafu unaambiwa wako pale
 
Wakati ndio msema kweli, IPO siku tutajua kati ya zitto na hao wengine nani mkweli.........zilikanushwa tarifa za EPA,ESCROW na bado muda ukatuamulia......hata hili wakati ukifika ukweli utajulikana.
Inatosha kudharua siasa uchwara za Zitto kwa misingi kwamba:
1) Boeing ni kampuni kubwa yenye heshima yake katika utengenezaji wa ndege.
2) Ununuzi wa ndege hauwezi kulinganishwa na ununuzi mwingine, kama gari, ambao Mh Zitto labda ameufanya.
3) Sifa za ndege kuruhusiwa kuruka ni sawa (specifications) au karibu na za dawa za binadamu. Hivyo umakini mkubwa unakuwepo katika utengenezaji wake kabla ya kuruhusiwa kuruka.
4) Ndege hutengenezwa kwa vipuri mbalimbali, kutoka kwa makampuni tofauti, ambako moja ya sharti kuu ni ubora wa kila kipuri.

Tusilinganishe utengenezaji wa ndege na jinsi siasa zinavyoendesha hapa nchini na porojo za humu JF.
 
Inatosha kudharua siasa uchwara za Zitto kwa misingi kwamba:
1) Boeing ni kampuni kubwa yenye heshima yake katika utengenezaji wa ndege.
2) Ununuzi wa ndege hauwezi kulinganishwa na ununuzi mwingine, kama gari, ambao Mh Zitto labda ameufanya.
3) Sifa za ndege kuruhusiwa kuruka ni sawa (specifications) au karibu na za dawa za binadamu. Hivyo umakini mkubwa unakuwepo katika utengenezaji wake kabla ya kuruhusiwa kuruka.
4) Ndege hutengenezwa kwa vipuri mbalimbali, kutoka kwa makampuni tofauti, ambako moja ya sharti kuu ni ubora wa kila kipuri.

Tusilinganishe utengenezaji wa ndege na jinsi siasa zinavyoendesha hapa nchini na porojo za humu JF.
Hivi huyo Zitto anafahamu issue ya ndege tu kupata ajali... haya mashirika lazima tena yafanye uchunguzi...
Ndege sio GUTA
 
Zitto kabwe ni mwanasiasa mnafiki na mbinafsi wa fikra sana,

Kampuni kubwa duniani ya Boeing ifanye mambo ya kipuuzi kama siasa za kibongo? Hao ni wazungu na wako straight kwenye mambo yao ya biashara, zitto acha upotoshaji kwa umma, mmezoea kudanganya watanzania acha kuchafua viwanda vya watu vinavyoaminika duniani.

ATCL fungueni mashitaka dhidi ya huyu mpotoshaji na kampuni ya Boeing watakuwa mashahidi wenu namba moja.
BAE did the same to our country. FYI kampuni kubwa ni hatari tena pale inapoona transaction is one time only! I dont see Tz ikirudi kununua ndege zaidi! They cannot do that to China kwa kuwa Chinese wanaagiza ndege lukuki!
 
Hivi kwa nini Zitto asichukuliwe hatua kama tuna hakika kwamba anayosema ni uongo?Kwangu mimi anaidhalilisha serikali,Boeing na ATCL and that should not be tolerated according to me.
 
Labda Waseme kuwa ndege ni mpya kwa tz, kwa nje ya tz ni mtumba, huku Zanzibar tuliambiwa meli mpya, wakati mí mtumba, tena wameapa kuwa ni mpya
_20180529_163213.JPG
_20180529_163312.JPG
 
Back
Top Bottom