MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Hizi ni ndege zilizofanyiwa upgrade kutoka BOEING 787
Boeing 737 Max-8 imekuwa katika safari za kibiashara tangu mwaka 2017.
Mwezi October mwaka jana Lion Air Boeing 737 Max ilianguka muda mfupi baada ya kuondoka kutoka Jakarta, Indonesia, na kuwauwa watu wote 189 waliokuwa ndani yake.
ndege ya Ethiopia ET302 pia ilianguka chini dakika chache tu baada ya kuondoka kwenye uwanja wa ndege
ndege ilikuwa imetumika kwa safari za usafiri kwa chini yamiezi mitatu.
Chanzo cha ajali hakijajulikana. Hatahvyo inaarifiwa rubani aliripoti kukabiliwana hitilafu na aliomba kurudi Addis.
katika kipindi cha siku chache baada ya ajali ya Lion Air, watengenezaji wa ndege ya Boeing walitoa muongozo wa namna ndege zinavyopaswa kuendeshwa.
Katika ajali ya nyuma, marubani walionekana kutatizika na mfumo huo wa kujitegemea ulioundwa kuizuia ndege hiyo kukwama, ulioidhinishwa katika Boeing 737 Max.
NB :NI BORA ZIENDESHWE NA WENYEWE WALIOTENGENEZA
Boeing 737 Max-8 imekuwa katika safari za kibiashara tangu mwaka 2017.
Mwezi October mwaka jana Lion Air Boeing 737 Max ilianguka muda mfupi baada ya kuondoka kutoka Jakarta, Indonesia, na kuwauwa watu wote 189 waliokuwa ndani yake.
ndege ya Ethiopia ET302 pia ilianguka chini dakika chache tu baada ya kuondoka kwenye uwanja wa ndege
ndege ilikuwa imetumika kwa safari za usafiri kwa chini yamiezi mitatu.
Chanzo cha ajali hakijajulikana. Hatahvyo inaarifiwa rubani aliripoti kukabiliwana hitilafu na aliomba kurudi Addis.
katika kipindi cha siku chache baada ya ajali ya Lion Air, watengenezaji wa ndege ya Boeing walitoa muongozo wa namna ndege zinavyopaswa kuendeshwa.
Katika ajali ya nyuma, marubani walionekana kutatizika na mfumo huo wa kujitegemea ulioundwa kuizuia ndege hiyo kukwama, ulioidhinishwa katika Boeing 737 Max.
NB :NI BORA ZIENDESHWE NA WENYEWE WALIOTENGENEZA