kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Informer humjui nyaucho wewe? alikuwaga usalama wa taifa na ni hodari wa kutunga matukio....sasa ametunga hili ili chadema ipate huruma ya wananchi lakini anasahau kuwa unaweza kuwadanganya baadhi ya watu kwa muda fulani lakini huwezi kuwadanganya watu wote muda wote
Ndugu tambua kuwa intelegencia ya CHADEMA huwa haikosei maafisa usalama wa CHADEMA wapo juu kuliko TISS na UWT wanaotegemewa na serikali ya CCM ninakuhakikishia huyo Kagenzi hawezi kufungua kesi yeyote kwani anajua kabisa akifanya hivyo tu ameiumbua CCM na idara nzima ya usalama wa Taifa
Last edited by a moderator: