Bodi ya Utalii Tanzania yang'aka kuhusu upotoshaji wa sehemu Mlima Kilimanjaro ulipo

Monasha

JF-Expert Member
Apr 2, 2011
561
422
1468943721347.jpg


Kama ni uvivu sisi watanzania tumezidisha.
Hii ni mara ya pili huu mlima kukosewa kwamba upo nchini Kenya.
Tujitahidi kivitangaza hivi vivutio jamani.
 
Leo hii ukisema hata Tanzanite inapatikana Kenya Dunia itaamini japo jina tu linaakisi origin yake. Wazungu ni mazuzu na wavivu wa kufikiri, wanadanganywa kizembe
 
Duniani wanajua kuwa Tzs ni sehemu ya Ke.
Hatujafanya vya kutosha kujitangaza
 
Hii hainishangazi sababu Kenya wanajitangaza vizuri vivutio vyao, na hivyo kuwaambia watalii watavuka tu mpaka na kuingia TZ katika mkoa uliopo mlima wetu...na wao wanapenda SAFARI kwa hiyo ndio hivyo.

Waanze kujifunza kuvutia watalii waanzie nchini kwetu kwanza na kwenda kwingine.

Na wizi wa majambazi wapunguze maana kama Dar watu wanapewa taadhari kali nani atataka kushukia huku????!!!!!!
 
Dawa yao ni kuzuia watalii kupanda mlima kwa kutokea Kenya ni lazima waingie Tz kwa visa na wanatakiwa wajue sasa wanaingia Tz tena wakati wanaingia wanatakiwa wapatikane watanga vivutio vyetu wawaambie kila kivutio kilichopo Tz
 
Dawa yao ni kuzuia watalii kupanda mlima kwa kutokea Kenya ni lazima waingie Tz kwa visa na wanatakiwa wajue sasa wanaingia Tz tena wakati wanaingia wanatakiwa wapatikane watanga vivutio vyetu wawaambie kila kivutio kilichopo Tz

Amna mtalii anaepanda mlima kwa kupitia kenya wala akujawai kua na iyo route
 
Jamani eehh huko duniani Tanzania inajulikana nawale waliofika tz ama kutembelewa na wa tz. Kwa ujumla inajulina east africa maana yake Kenya. TTB ikarabatiwe maana haina muamko wa tourism. Nilifika Miami nikiulizwa unatoka wapi nasema Tanzania, East Africa. Anayeuliza ana jibu tena yeye aah Kenya kama vile east africa yote ni Kenya. Balozi zetu ziwe active. Nime furahi mheshimiwa Masillingi kuanza kujinadi Seattle huko Marekani kwani itawakumbusha Boeing kuwa kuna nchi inaitwa Tanzania.
 
Jamani eehh huko duniani Tanzania inajulikana nawale waliofika tz ama kutembelewa na wa tz. Kwa ujumla inajulina east africa maana yake Kenya. TTB ikarabatiwe maana haina muamko wa tourism. Nilifika Miami nikiulizwa unatoka wapi nasema Tanzania, East Africa. Anayeuliza ana jibu tena yeye aah Kenya kama vile east africa yote ni Kenya. Balozi zetu ziwe active. Nime furahi mheshimiwa Masillingi kuanza kujinadi Seattle huko Marekani kwani itawakumbusha Boeing kuwa kuna nchi inaitwa Tanzania.
Kwa kweli hii TTB ifumuliwe tu iundwe upya na wawe wsnapewa target kabisa. Siyo TTB tu ingia website ya Ngorongoro utakutana na vi data vya mwaka 2012 tu. Sasa nashangaa kwa dunia ya leo tunategemea kufanikiwa kimiujiza?? We have to work hard otherwise tutaishia kukemea vyombo vya kimataifa bure tu.
 
Back
Top Bottom