watu wanaogopa wazunguDah!
Kwani hao nao si ni watu tu kama sisi!
Yaani tayari watu mshaonyesha hali ya kushindwa hata kabla ya kuanza kwa hayo mazungumzo kisa tu eti ya watu waliomo kwenye hiyo bodi ya hiyo kampuni!
Kwani tunaenda kushindana kurusha maroketi angani?
Bure kabisa!!!!!
Hii issue ishafeli mkuu. Ni sawa na mtu umemkamata na vitu vyako, halafu unasema tufanye mazungumzo. Ni kitu ambacho hakiewezekani. Mwizi unamkaribisha IKULU? Na ulinzi mnampa km mgeni mheshimiwa.Miafrika ndo tulivyo!!! Huwa hatupendi kujiamini. Kwani hao wakija watabadilisha maandishi ya mikataba na uelewa wetu?
Naomba tuziamini ripoti zetu zilizochunguzwa na maprofessor kibao.
Wa kumuonea huruma hapo ni Juma Volter Mwapachu; atkwepaje shutuma na mishale mikali mikali kwa kuihujuma nchi yake mwenyewe! Bila shaka anaijua siri ya mtungi!
Tatizo watakao urge kesi yetuTunasikitisha sana kwa kweli.
Yaani toka juzi watu washaanza kukubali kushindwa kabla hata ya kuanza kwa hayo mazungumzo kisa tu wameona kuna majina ya wazungu flani flani.
Kwanza nani anajua kama hao watu ndo watahusika na hayo mazungumzo?
Na hata wakihusika, so what? So freakin' what?
Wakuu kazi haitakuwa ya Kitoto na tunatakiwa tuandae jopo letu la wataalamu na wanasheria vichwa n'a makini sana. Inasemekana Bodi ya Ushauri ya Kimataifa itakuwepo katika mazungumzo yajayo kati ya Barrick/Acacia n'a Serikali ya Tanzania. Kazi ya Bodi hii itakuwa ni kutoa Ushauri katika Mikataba iliyosainiwa zamani n'a pande hizo mbili. Sasa huenda katika mazungumzo hayo tukawashinda n'a tukapata pesa zetu au tukaambulia patupu kwa kuwa Mikataba tuliisaini wenyewe n'a makubaliano tuliingia. Na Nadhan watakuja na ushahidi wa picha, vielelezo na video.
Nisiende mbali, Hebu wajue wajumbe wa Bodi hii ya Ushauri ya kimataifa, tukiwajua itakuwa vizuri kujiandaa na kuwaandaa wataalamu wetu:
Bodi Ina members 12 ambapo wako Mawaziri Wakuu wastaafu wawili na mawaziri wengine wanne wa nchi nne tofauti na inaongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Canada, Brian Mulroney. Pia kuna Waziri Mkuu wa zamani wa Hispania, Jose Maria Aznar na Spika wa zamani wa bunge la wawakilishi la Marekani, Newt Gingrich. Yumo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, John Baird na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani, William Cohen na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Shirikisho la Ujerumani, Karl-Theodor zu Guttenberg. Yumo aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Margreth Thatcher na John Major kuhusu masuala ya nchi za nje. Pia yuko Mtanzania na mwafrika pelée Balozi Juma Mwapachu.
Vichwa vyote hivi jamani tutapona ?
Madai realistic yalitakiwa kuwa dola/shilingi ngapi ndugu?Kilichowashitua hawa Wazungu ni hayo matrilioni tunayotaka watulipe madai ambayo huenda si realistic hivyo ni lazima nao wajipange.
Itakuwa Tundu kaja kivingine kuonyesha hofu yake.watu wanaogopa wazungu
Mleta Mada kibaraka mzawa wa wazungu wa accacia atakuwa na undugu na tundu lisu. Kutwa maandiko yake ni kutishia watanzania nyau. Ukome ukibaraka. Unaandika unarudia rudia wewe oh bodi ina vigogo wastaafu so what? Go to hellSina hakika kama unajua umeandika nini
Hao wote uliowataja ni body member wa Barrick Gold Mine
Mwenyekiti wao ni Prof John Thornton
Huyu aliyekuwa kuongea na mh Rais
Mleta mada alikujibu hili swali?Hii bodi ya ushauri ya kimataifa imeteuliwa na nani?
Pale sio kelele kama za lisu na uwezo wa kuongea lugha ya mkoloni wa kiingereza pale ni facts na data. Ule sio mkutano wa bavicha kuwa anatakiwa domokaya anayejua kupanua domo na kuongea sanaTatizo watakao urge kesi yetu
Je ni Masaju,Tulia ,Mwakyembe,Osoro Mruma"
Nani kati yao ana uwezo hata wa kujieleza?