Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Wakuu nimejaribu kupitia report ya cag kipengere kilichohusu taarifa ya posho kwa ajili ya vikao vya bodi ya ngoro ngoro kuna kitu kimenichanganya sana.
Wanasema gharama nyingine za usafiri kuna tofauti gani na gharama za mafuta.
Hawa jamaa wa ngoro ngoro si ndio wale wanaojilipa mishahara mikubwa kubwa?.
Kwa kweli Serikali imulike taasisi hii kwa jicho lenye hisia 6.
Haiwezekani wakapanga bajeti ya kuchanganya changanya mambo.
Watuambie mafuta na gharama za usafiri ni vitu gani hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema gharama nyingine za usafiri kuna tofauti gani na gharama za mafuta.
Hawa jamaa wa ngoro ngoro si ndio wale wanaojilipa mishahara mikubwa kubwa?.
Kwa kweli Serikali imulike taasisi hii kwa jicho lenye hisia 6.
Haiwezekani wakapanga bajeti ya kuchanganya changanya mambo.
Watuambie mafuta na gharama za usafiri ni vitu gani hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app