Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu yaanza kukata madeni kwa formula mpya!

Kweli wanofikiri kwa makalio ni wengi nchi hii!! Yaani simple point ya mwanzisha mada watu wameshindwa kuelewa! &lt;font color=&quot;#ff0000&quot;&gt;&lt;b&gt;HAJAKATAA KULIPA DENI &lt;/b&gt;&lt;/font&gt; Ila Mkataba wa mkopo unasema unatakiwa ulipe ndani ya miaka 10, hausemi unatakiwa ukatwe 10% kwenye mshahara kila mwezi, kutegemea na mshahara wako hii inamaanisha unaweza ukajikuta umelipa deni zima kwa kipindi kifupi sana kwa deni ambalo halina interest kubwa hii inaweza ikawa disadvantage plus inaweza ikakwamisha mipango mingeni.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mkataba inabidi uheshimiwe, na kama mkataba hauwaruhusu kubadili viwango vya malipo basi watakuwa wamevunja mkataba na hatua za kisheria zinaweza kuchukuliwa, ila hii ndo Bongo tunasongo hivyo hivyo.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kumaliza refunding mapema ni advantageous phenomenon kwa sababu thereafter, unakuwa free na strategy zako. <br />
Halafu, we have to alert our young brothers at our universities about the prevailing situation, so that they can decide whether to SHAVE or PLAIT. i.e kukopa ama kulipa cash.
 
Mbona 10% ni kidogo? Je wangekopa Banks si wangelipa zaidi ya hiyo na interest juu. Pia wengi ni vijana ambao bado majukumu hayajapandiana. Jamani DAWA YA DENI NI KULIPA, acheni kutetea hata mambo yaliyo wazi tena ni HAKI na WAJIBU.

Kama huna hoja ni bora ukae kimya, otherwise you will be displaying how ignorant you are!!!. St...d%^&**((&^^^%.
 
Hili jamaa litakuwa zee tu ambalo halimo katika watu wanaotakiwa kukatwa!!
Mshahara wenyewe laki 4, still nimekopa Bank na penyewe nakatwa na Bodi nayo ikate kiasi hcho nitabakiwa na nn ss??!!
Hii nchi ni noma!


Mbona 10% ni kidogo? Je wangekopa Banks si wangelipa zaidi ya hiyo na interest juu. Pia wengi ni vijana ambao bado majukumu hayajapandiana. Jamani DAWA YA DENI NI KULIPA, acheni kutetea hata mambo yaliyo wazi tena ni HAKI na WAJIBU.
 
Mbona 10% ni kidogo? Je wangekopa Banks si wangelipa zaidi ya hiyo na interest juu. Pia wengi ni vijana ambao bado majukumu hayajapandiana. Jamani DAWA YA DENI NI KULIPA, acheni kutetea hata mambo yaliyo wazi tena ni HAKI na WAJIBU.

Kaka/dada dawa ya deni ni kulipa, "UKO SAWA KABISA" lakini unapokopa mnakubaliana ulipe vip na si anayekukopa kukubadilikia njiani huku ukiendelea kumlipa kama mlivyokubaliana siku za nyuma. Naomba ujiulize; Nchi yetu inadaiwa na mataifa mabalimabali ya ulaya na wamewekeana terms za kulipa, je, wakiamua kuibadilikia nchi yetu ilipe kinyume na makubaliano ya awali, deni lote liishe kwa mwaka mmoja kwa mfano, hapa bongo nchi itakwenda?

Sasa kwa taarifa yako, kuna walimu wenye degree, wanalipwa 380,000/= take home, kwa mwezi bodi ikichukua laki na nusu, anabaki na kiasi cha mboga. Kama unavyojua life la sasa ni balaa, sasa niambie hapo, kama hapo atapiga chaki kwa moyo. Tafakari ndugu- ingawa nakubaliana na wewe DAwa YA DENI NI KULIPA. HAKUNA BINADAMU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU ANAYEWEZA KUKATAA KULIPA DENI. Cha kujiuliza kwa nini wabadili terms za kurudisha deni?

Kama kuna, watu wa bodi wanapitia hii forum, TUnawaomba wajaribu kuliangalia.
 
Mbona 10% ni kidogo? Je wangekopa Banks si wangelipa zaidi ya hiyo na interest juu. Pia wengi ni vijana ambao bado majukumu hayajapandiana. Jamani DAWA YA DENI NI KULIPA, acheni kutetea hata mambo yaliyo wazi tena ni HAKI na WAJIBU.
Jaribu kufikiria kidogo ili utambue ni kiasi gani mtu atakatwa, na anpata mshahara kiasi gani ndipo utamke hayo.
 
Mbona 10% ni kidogo? Je wangekopa Banks si wangelipa zaidi ya hiyo na interest juu. Pia wengi ni vijana ambao bado majukumu hayajapandiana. Jamani DAWA YA DENI NI KULIPA, acheni kutetea hata mambo yaliyo wazi tena ni HAKI na WAJIBU.
Tumekusikia ila tunaomba uzee wako usiwe ugonjwa!
 
Tatizo ni Serikali kutotoa ajira za kutosha kwa watu wamalizapo chuo. Ni watu wachache sana ndio wapo katika system na ndio wanaokatwa hizo hela. Wengi wetu hawana ajira hivyo hakuna njia ya kuwakata hivyo wanalazimisha kufikia lengo la makusanyo kwa mwaka kwa wale ambao wapo tayari ktk system na wanasahau kuwa wangeongeza ajira wangekuwa na pool kubwa ktk marejesho kuliko kuwaumiza wachache.
<br />
<br />
To
solve the problems in this
world we need to lift our
thinking to a higher level than
what it was when we created
these problems. Albert
Einstein
 
Kufutia Bodi ya Mikopo, kuanzisha utaratibu mpya wa makato ya mikopo kuonekana kutoridhisha wengi nahisi kuna haja ya kulipatia ufumbuzi, ikiwa ni kuweka utaratibu wa link ya wadau wote katika kupitisha sera kama hizo,

Kupata utaratibu wa mtu kupata statements ya account yake,

Na pengine kudai taarifa na kumbukumbu za matumizi sahihi ya hizo fedha zinazo kusanywa ili kuleta Tija na Accountability kwani kukiwa na mtu ambaye hana uchungu na hayo makato tunaweza tengeneza Genge la watu kufaidika na ufisadi wa hayo makato,

kwa yeyote ambaye anahisi kuguswa na hili basi tuungane kwa kujisajiri kwenye thread hii au tufungue email tusajili ili tuweke mikakati

Naomba kutoa Hoja
 
Kufutia Bodi ya Mikopo, kuanzisha utaratibu mpya wa makato ya mikopo kuonekana kutoridhisha wengi nahisi kuna haja ya kulipatia ufumbuzi, ikiwa ni kuweka utaratibu wa link ya wadau wote katika kupitisha sera kama hizo,<br />
<br />
Kupata utaratibu wa mtu kupata statements ya account yake,<br />
<br />
Na pengine kudai taarifa na kumbukumbu za matumizi sahihi ya hizo fedha zinazo kusanywa ili kuleta Tija na Accountability kwani kukiwa na mtu ambaye hana uchungu na hayo makato tunaweza tengeneza Genge la watu kufaidika na ufisadi wa hayo makato,<br />
<br />
kwa yeyote ambaye anahisi kuguswa na hili basi tuungane kwa kujisajiri kwenye thread hii au tufungue email tusajili ili tuweke mikakati<br />
<br />
Naomba kutoa Hoja
<br />
<br />
naunga mkono hoja 100%
 
Nimeiona barua inayowataka waajiri(in this case private)kupeleka details za wafanyakazi wao waliosoma kwenye higher learning institution ili wao wachambue na waone nani anadaiwa kiasi gani then waamue wakatwe kiasi gani kwa mwezi.Mwajiri atakaye shindwa kutimiza hilo anakabiliwa na faini ya 7000,000 kwa kila employee
Hapo watachemsha,watu wanahama sana hizi private company.Nani atakuwa na muda wa kufuatilia hayo
 
wadaiwa waliko private sector vipi? Hawadaiwi au ndo awamu yao inakuja? Nijuzeni, maana mimi nadiwa nijue lini naanza kukabwa.

Tunakatwa kila mwezi,,, na this exercise started since 2yrs ago when hao agents wa HESLB came at my work station for loan refund agreement. Tunakatwa kwa formula ya kuja kulimaliza deni hilo ndani ya miezi 100 ambayo ni sawa na kama miaka 8.5 ivi! Hiyo formula mpya at my work station bado sijaisikia! Ni Lazima kuwe na agreement na si kukata tu kama njugu mawe si unajua maisha saiz ni magumu! It was my right to get this loan,na ni wajibu kwa kila aliyekopa kurudisha ili na wengine wapate but si kurudisha kwa kushurutishwa!
Kama serikali imejikoroga huko ikizani itavuna ilichokipanda kirahisi ivo,,,,,,NO! Lazima kuwa na reasonable amount of deduction kwa kuzingatia hali ya maisha ya sasa! Nilikomaa sana kupata kazi mpaka nikajuta why nilikopa ili nisome?? Sasa kuja kukatwa 150,000/= per month,ni kufanya watoto wetu wasisome kabisa! Hatuwezi kufanya kazi while at the end of the day salary yote iishie ktk Tax & HESLB....NO! Nitaacha kazi ili nikafungue genge la mboga halafu tuone kama hiyo 150,000/= wataipataje!!!
 
Mbona 10% ni kidogo? Je wangekopa Banks si wangelipa zaidi ya hiyo na interest juu. Pia wengi ni vijana ambao bado majukumu hayajapandiana. Jamani DAWA YA DENI NI KULIPA, acheni kutetea hata mambo yaliyo wazi tena ni HAKI na WAJIBU.
We NAKWETU embu Think twice b4 u talk!!! Ivi Unajua a degree holder teacher ambaye mshahara wake ni below 500,000/= na makato mengine yakimpitia +hiyo 10% atabaki na nini? P/se tambua kuwa mikopo ya bank ni kwa ajili ya biashara na so dont compare na school loan! Sipingi hoja, ila nataka loan beneficiaries wawe na uhuru wa kurudisha mkopo huo kutokana na what they earn na hivyo wapewe nafasi ya kupanga kiasi cha kurudisha kwa kuangalia hali yao kimaisha!
 
Nasubiri wakate hiyo ten percent kinyume na mkataba, naenda mahakamani kuwashitaki.. Atakayekuwa tayari tuungane
 
Hawa jamaa huwa wananikera sana wameanza nikata mwaka wa 5 sasa
Ningependa wawe wanatuambia mpaka sasa wamekusanya ela ngapi na bado ela ngapi?
Alafu na izo formular za bila kukubaliana na mkopaji si mtuite tukubaliane
 
Back
Top Bottom