colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,895
Habar za mda mrefu wakuu , baada ya mda mrefu sana kutonekana kwenye jf leo nimerud kwa machungu na masikitiko
Ni baada ya kupata makato yasioeleweka kwenye mshahara wangu nikasema ngoja nione nini kimejiri kwenye salary slip yngu daah !
Nakuta kuna makato kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu tz kwa kweli hili limenishangaza sana
Sijawahi kupewa hata mia na bodi ya mikopo ,nimesoma kuanzia msingi , secondary hadi nimemaliza chuo kwa jasho la wazee wangu , isitoshe sijawahi hata kuomba mkopo wa elimu ya juu kutoka body yeyote hapa tanzania cha ajabu leo mnaniweka kwenye list ya waliopokea mikopo yenu
Nasema sitokubali kwa hili nitapambana na nyinyi murejeshe hela yangu yote mliokwisha kata , nina risiti zooote ambazo nilikua nalipia chuo kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho
Kama mtukufu kawabana sna mrejeshe hela ambazo mmetoa kuwapa watu mikopo , na wengi wao hawana ajira wako mitaani mnaamua kutafta mbinu mbadala ya ku pick randomly nasema kwangu mmechemka u picked the wrong guy nasema nitapambana kuhakikisha hela yangu mnarejesha
Nimejaribu kuwaandikia barua na kuwatumia kwenye email na vielelezo vyangu kama mlivyonieleza naona bado mmezarau nitakuja ofisini kwenu in no time
Nimeandika kwa uchungu na masikitiko wakuu mtanisamehe kwa rough writting.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni baada ya kupata makato yasioeleweka kwenye mshahara wangu nikasema ngoja nione nini kimejiri kwenye salary slip yngu daah !
Nakuta kuna makato kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu tz kwa kweli hili limenishangaza sana
Sijawahi kupewa hata mia na bodi ya mikopo ,nimesoma kuanzia msingi , secondary hadi nimemaliza chuo kwa jasho la wazee wangu , isitoshe sijawahi hata kuomba mkopo wa elimu ya juu kutoka body yeyote hapa tanzania cha ajabu leo mnaniweka kwenye list ya waliopokea mikopo yenu
Nasema sitokubali kwa hili nitapambana na nyinyi murejeshe hela yangu yote mliokwisha kata , nina risiti zooote ambazo nilikua nalipia chuo kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho
Kama mtukufu kawabana sna mrejeshe hela ambazo mmetoa kuwapa watu mikopo , na wengi wao hawana ajira wako mitaani mnaamua kutafta mbinu mbadala ya ku pick randomly nasema kwangu mmechemka u picked the wrong guy nasema nitapambana kuhakikisha hela yangu mnarejesha
Nimejaribu kuwaandikia barua na kuwatumia kwenye email na vielelezo vyangu kama mlivyonieleza naona bado mmezarau nitakuja ofisini kwenu in no time
Nimeandika kwa uchungu na masikitiko wakuu mtanisamehe kwa rough writting.
Sent using Jamii Forums mobile app