Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,317
- 16,485
Au kuwakatia bima ya elimu. Ni nzuriSasa inabidi watanzania tubadilike, tuanze kufungua akaunti za akiba kwa ajili ya watoto na siyo kusubiria mikopo. Mkopo uje uwe ni suluhisho la mwisho.
Ukijiwekea mpango wa akiba kwa kweli utapunguza machungu kwa kiasi kikubwa.
Waswahili wamesema: Haba na haba hujaza kibaba.