Bodi ya mikopo vyuo vikuuu mnatesa wanafunzi

choga mkuu

JF-Expert Member
Apr 11, 2016
283
110
Bodi ya mikopo vyuon imekua ikichelewefa fedha za kujikimu kwa wanafunzi kwa sababu zisizo na tija . Aidha mpaka muda huu vyuo vingi vinategemea kuanza mtihani Wa kufunga UE lakin bodi haijatoa fedha za field hata form za kusain wanafunzi za bodi hazijatolewa mpaka muda huu. Hali hii imekuwa ikipelekea wanafunzi wengi kujiingiza kwenye vitendo vilivyo kinyume na maadili ya jamii ya Tanzania. Hata hivyo bodi imekuwa haitoi taarifa kwa muda ili kuwafanya wanafunzi kukaa wakijua fedha hizo zitachelewa kutoka . Naitaka serikali ambayo imejipambanua kuwa inajali maslahi ya wanafunzi iingilie kati ili wanafunzi wapate fedha za field mapema
 
Huyu JPM atawaua wengi.
Huwezi kujinanga unataka Tanzania ya Viwanda, wakati hao wataalamu wanaganga njaa vyuo vikuu.

Kama hauwezi kuwapa chakula na malazi tu, je utaweza kuwapa zana za kisasa za kujifunzia?

Kama mambo yenyewe ni haya, Tz ya viwanda ni ndoto ya Mchana.
 
Yaani wana vyuo wanatesaka sana fikiri licha ya pesa ya field bado kuna vyuo hawajapewa boom. Hii ni atari kwa usitawi jamii na maadili ya wasomi wetu.
 
Bodi ya mikopo vyuon imekua ikichelewefa fedha za kujikimu kwa wanafunzi kwa sababu zisizo na tija . Aidha mpaka muda huu vyuo vingi vinategemea kuanza mtihani Wa kufunga UE lakin bodi haijatoa fedha za field hata form za kusain wanafunzi za bodi hazijatolewa mpaka muda huu. Hali hii imekuwa ikipelekea wanafunzi wengi kujiingiza kwenye vitendo vilivyo kinyume na maadili ya jamii ya Tanzania. Hata hivyo bodi imekuwa haitoi taarifa kwa muda ili kuwafanya wanafunzi kukaa wakijua fedha hizo zitachelewa kutoka . Naitaka serikali ambayo imejipambanua kuwa inajali maslahi ya wanafunzi iingilie kati ili wanafunzi wapate fedha za field mapema
Wenzenu hata zile za awamu ya nne hawajapata nyie mnadai za field.
 
Sasa hiv tuwe tunawekeza BIMA za Elimu mfano hawa Alliance Life Assurance wako poa unaweza kuwekeza tangu mtoto anazaliwa mpaka aje kufikia Chuo huna pressure ya Ada kabisaaa
 
Mkuu huku st.joseph ndo hamna hata dalili ya kusign boom la nne maana kesho jumatatu ndo wakaguzi watakuja kukagua wanafunzi hewa sasa sijui tutasign lin na kuwekewa ela lini na huku ukionekana tu unakunywa maji ya uhai watu wanakushangaa maana hamna ela
 
Mkuu huku st.joseph ndo hamna hata dalili ya kusign boom la nne maana kesho jumatatu ndo wakaguzi watakuja kukagua wanafunzi hewa sasa sijui tutasign lin na kuwekewa ela lini na huku ukionekana tu unakunywa maji ya uhai watu wanakushangaa maana hamna ela
TAHLSO wanasemaje mkiwauliza?
 
Hawa jamaa sio siri wazinguaji, sasa imagine mtu umeomba mkopo ili ulipie ada umekubaliwa ila hupati mkopo mpaka chuo kinafunguliwa wenzako wanaanza kuingia madarasani, unaomba kwa barua unasoma kwa hisani mpaka finals zinafika hela hujapewa inabidi utimuliwe chuo sasa,maana hamna namna.

Kweli hii ndio Tanzania yangu sijui lini mateso yataisha!
 
Back
Top Bottom