Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,042
- 20,404
Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.
Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:
1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.
Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu
1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%
2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.
Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.
Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:
1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.
Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu
1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%
2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.
Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.
Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.