Imefika wakati bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu ibadilike,kwa muda sasa sisi wanafunzi tuliochina tunasubiri mikopo yetu lakini hatujapewa taarifa yoyote ya kuaminika toka wahusika.
Jambo la kuzingatiwa ni kuwa wanafunzi wengine tumeshaanza kukatwa mikopo yetu ya undergraduate na hivyo haina maana kutucheleweshea fedha zetu kana kwamba ni msaada na siyo mkopo.
Jambo la kuzingatiwa ni kuwa wanafunzi wengine tumeshaanza kukatwa mikopo yetu ya undergraduate na hivyo haina maana kutucheleweshea fedha zetu kana kwamba ni msaada na siyo mkopo.