Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,732
Kwakweli nchii tunakokwenda ni ajabu............ukianzia TCU namba za simu Zilizowekwa ili mtu awasiliane nao ni kwamba zote tunaambiwa hazipo. Hilo moja namba ya HESLB (Phone 255-22-2669036/7) pigeni zikipokelewa nawapa zawadi. Sasa kujaza form kwa ajili ya mikopo muda huu saa 8 : 45 asubuhi huwezi kufanya chochote unaambiwa database error occured. Sasa hii inakuwa balaa............hakuna userious wowote. Vijana wametoka kijijini wamekuja internet lakini tovuti majanga....yaani nchi hiii sijui tunaweza nini