BODI YA MIKOPO KUDAI MIKOPO NYUMBA KWA NYUMBA NDIO SHERIA INAVYOSEMA?

Mpira wa kona

JF-Expert Member
Nov 25, 2016
350
338
Nimekuwa nafuatilia matamko mbalimbali yanayotolewa Na Viongozi wa Bodi ya Mikopo.Naamini mkataba wa mkopaji Na Bodi unaeleza bayana namna mkopo utakavyolipwa. Sidhani kama kuna kipengele kinachosema mkopo utalipwa Kwa kupita Nyumba Kwa Nyumba.Nawashauri viongozi wa Bodi ya Mikopo hebu fuateni Sheria kudai mikopo vitisho Na njia zisizosahihi mtakwama.Wapeni muda wadaiwa wakio makazini wajiorodheshe Kwa hiari yao Kwa waajiri wao Na wasio Na ajira wasilianeni Na wadhamini wao mkubaliane namna mkopo utakavyolipwa.Hata mikopo ya Nchi Kwa Nchi haidaiwi hivyo ingekuwa hivyo nadhani Tanzania Tungenyang'anywa BANDARI,MBUGA ZA WANYAMA n.k.
 
Nimeshahama nyumba nyingi za kupanga, sijui mtanipatia wapi.!


Waliona raha walipotupa mikopo baada ya kuandamana. Ni zamu yenu kuandamana kabda hamjapata marejesho yenu.
 
Ulikopa usijitengenezee mazingira ya kutolipa deni,
We km utak nyumba kwa nyumba, lipa deni tu mkuu.
Ni mtazamo tu.
 
Kila nikipiga namba ya Helsb hawapokei nataka kuwalipa deni lao ila cha kushangaza kila nikiwapigia simu hawapokei nikituma email hawajib ikienda Mwenye ofisi zao za nwanza hawataki kunipa loan status yangu. Sasa sijui nifanye nn kwa hilo
 
Back
Top Bottom