Bodi ya mikopo inataka kuzimisha ndoto zangu sijui nifanyeje

Mkuu nini cheti cha kifo bodi ya mikopo achana nayo ataueke video ya mazishi ukiwa unalia awakuonei huruma Mkuu niliwahi kosa mkopo miaka 3 mfululizo bodi walizima ndoto zangu wauni jamaa kama auna channel pale wa kukushika mkono utasubil mnoo nchi hi mkuu akunaga

Ha ha nimecheka eti video ya mazishi, hao jamaa walinipa 80% na vyeti vyote niliwapa, sema nilikuwa na bahati niliappeal wakanipa 100%
 
Wat wanapat mkopo mpaka batch ya 5c nenda kasome kijana. Mungu muweke mbele
Sasa unasomaje bila pesa mkuu..
Yaan kiukweli wanafunzi wengi kkulilia mkopo ujue financially hawako stable.. Kama mtu uko vizur huwezi kukialia na mikopo yao maana ni mizinguo tu
 
Sasa unasomaje bila pesa mkuu..
Yaan kiukweli wanafunzi wengi kkulilia mkopo ujue financially hawako stable.. Kama mtu uko vizur huwezi kukialia na mikopo yao maana ni mizinguo tu
Dah wanafunzi wengi inaonekana hawajapata alafu utaratibu wa majina mwaka huu sijauona kabisa...MTT wa kabwela atasomaje bila mkopo sasa,iyo batch ya tatu nliskia n mwez wa 12 ,sasa MTT akipata iyo batch ya tatu alafu yupo home kuna kusoma kweli hapo mana wenzake watakuwa walianza mapema sana...heslb wahurumieni madogo aisee yan MTT wa maskin kakosa alafu kozi unakuta ni potential kabisaa
 
Dah wanafunzi wengi inaonekana hawajapata alafu utaratibu wa majina mwaka huu sijauona kabisa...MTT wa kabwela atasomaje bila mkopo sasa,iyo batch ya tatu nliskia n mwez wa 12 ,sasa MTT akipata iyo batch ya tatu alafu yupo home kuna kusoma kweli hapo mana wenzake watakuwa walianza mapema sana...heslb wahurumieni madogo aisee yan MTT wa maskin kakosa alafu kozi unakuta ni potential kabisaa
Barabara mkuu, heslb mwaka huu chenga tupu
 
Sasa unasomaje bila pesa mkuu..
Yaan kiukweli wanafunzi wengi kkulilia mkopo ujue financially hawako stable.. Kama mtu uko vizur huwezi kukialia na mikopo yao maana ni mizinguo tu

Mkuu Amna uwezekano upate hela ya semista 1 na direct fee.uku ukisbr batch zinazokuja.
 
Jamani waambieni HESLB watoto wengi huko UDSM hawajapata mikopo wa first year
 
Kuna mwengine mwenye update huko
Screenshot_20201128-020055.jpg
 
Back
Top Bottom