Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,813
- 8,662
mkopo ni bahati tu sometimes
Hao wana hela, Si nafasi ndo zishapotea hvyo vyuma hatunawenzenu wana fanya usajiri uku
Nenda kajisajili kisha appeal ukiwa chuo hii ina advantage kubwa au post pone mwaka lakini hakikisha unajisajili nafasi yako hapo isipoteeHao wana hela, Si nafasi ndo zishapotea hvyo vyuma hatuna
Utasijali vipi bila kulipa pesa? Hapo kikwazo ni pesa ya ada ya Semister pia.Nenda kajisajili kisha appeal ukiwa chuo hii ina advantage kubwa au post pone mwaka lakini hakikisha unajisajili nafasi yako hapo isipotee
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hapa inabid utafute pesa nusu ya semesterUtasijali vipi bila kulipa pesa? Hapo kikwazo ni pesa ya ada ya Semister pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nini cheti cha kifo bodi ya mikopo achana nayo ataueke video ya mazishi ukiwa unalia awakuonei huruma Mkuu niliwahi kosa mkopo miaka 3 mfululizo bodi walizima ndoto zangu wauni jamaa kama auna channel pale wa kukushika mkono utasubil mnoo nchi hi mkuu akunaga
Heslb hawana mpya.. Unaweza kuta mambo yashaisha tayari.. Maana vyuo vishaanza usajiri mda tuHivi third batch bado tu au ndo ili toka kimya kimya
Sasa unasomaje bila pesa mkuu..Wat wanapat mkopo mpaka batch ya 5c nenda kasome kijana. Mungu muweke mbele
Dah wanafunzi wengi inaonekana hawajapata alafu utaratibu wa majina mwaka huu sijauona kabisa...MTT wa kabwela atasomaje bila mkopo sasa,iyo batch ya tatu nliskia n mwez wa 12 ,sasa MTT akipata iyo batch ya tatu alafu yupo home kuna kusoma kweli hapo mana wenzake watakuwa walianza mapema sana...heslb wahurumieni madogo aisee yan MTT wa maskin kakosa alafu kozi unakuta ni potential kabisaaSasa unasomaje bila pesa mkuu..
Yaan kiukweli wanafunzi wengi kkulilia mkopo ujue financially hawako stable.. Kama mtu uko vizur huwezi kukialia na mikopo yao maana ni mizinguo tu
Barabara mkuu, heslb mwaka huu chenga tupuDah wanafunzi wengi inaonekana hawajapata alafu utaratibu wa majina mwaka huu sijauona kabisa...MTT wa kabwela atasomaje bila mkopo sasa,iyo batch ya tatu nliskia n mwez wa 12 ,sasa MTT akipata iyo batch ya tatu alafu yupo home kuna kusoma kweli hapo mana wenzake watakuwa walianza mapema sana...heslb wahurumieni madogo aisee yan MTT wa maskin kakosa alafu kozi unakuta ni potential kabisaa
Mkuu umshaingia SUA..?
Sasa unasomaje bila pesa mkuu..
Yaan kiukweli wanafunzi wengi kkulilia mkopo ujue financially hawako stable.. Kama mtu uko vizur huwezi kukialia na mikopo yao maana ni mizinguo tu
Pindi limeanza..?Ndio mkuu
Kwa kozi yetu hyo wanahitaji sh ngapi semester 1..?Mkuu Amna uwezekano upate hela ya semista 1 na direct fee.uku ukisbr batch zinazokuja.
Kwa kozi yetu hyo wanahitaji sh ngapi semester 1..?
Sio UDSM, vyuo vingi tu.Jamani waambieni HESLB watoto wengi huko UDSM hawajapata mikopo wa first year
Wao hata hawana habari.. Wiki inakatika hii hakuna linalo eleweka mpaka sasa