Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
wakuu salaam nyingi sana kwenu. Mimi naenda kwenye mada, mwaka jana niliacha chuo baada ya kukosa mkopo ikabidi nirudi home kujipanga upya na nikaaply mkopo mwaka huu huku nikiambatanisha death certificate ya marehemu mzee wangu. Mungu si athumani nilipata chuo kikuu cha private kwa course ya Doctor of Medicine kwenye third round.
Sasa batch zote mbili nimekosa na sasa nimebaki natumbua macho tu. Kama shule nilisoma olevel serikalini chuo changu cha CO ni cha serikali, death certificate ya marehemu baba niliweka sasa sijajua tatizo ni nini
Sasa batch zote mbili nimekosa na sasa nimebaki natumbua macho tu. Kama shule nilisoma olevel serikalini chuo changu cha CO ni cha serikali, death certificate ya marehemu baba niliweka sasa sijajua tatizo ni nini