Targaryen
JF-Expert Member
- Feb 20, 2017
- 675
- 640
Niliomba status yangu 2014 kuanza kulipa deni langu na nikapewa ni Tshs.12M mwezi huo huo nikaanza kulipa cha ajabu mwezi huu nimeenda kuomba status yangu "statement ya deni langu" deni limekuwa kwa Tshs. 2M wakati nishaanza kulipa toka mwaka 2014 nimejua kuwa nimemaliza
Nimeamba wanieleweshe wamekokotoa vipi wamebaki kunipiga chenga.
Nimeamba wanieleweshe wamekokotoa vipi wamebaki kunipiga chenga.