Bodi ya mikopo (HESLB) kumgomea Waziri. Je, huyu Waziri anatosha?

wajingawatu

JF-Expert Member
Jan 20, 2013
2,048
2,442
Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu wamemgomea waziri wa elimu, kwa kuipiga stop kamati yake chunguzuzi kukanyaga HESLB.

Kutokana na uzito wa wajumbe wa bodi hiyo, waziri alishindwa kuwafanya kitu na badala yake aliibukia kwenye media na vitisho uchwara kwamba atawala vichwa.

Kumuonyesha waziri kwamba wao ni nani, heslab waliwapunguzia wanafunzi waliokuwa wamepata mkopo 100% hadi 50% na wengine 0%.

Hiyo yote ni kumuonyesha waziri kwamba 'wao ni nani' au 'unatujua sisi ni nani'?. Waziri akanywea.

Jana, swala hilo likaibukia tena bungeni na, baada ya mjadala mrefu na mikwara kibao ya wabunge dhidi ya bodi ya heslab, ikaazimiwa kwamba kamati husika ya bunge iwaite heslb na kuwaweka kitimoto.

Sasa mimi kama mwenye masilahi na jambo hili namuuliza waziri kama alishawahi kukaa kikao na bodi au wafanyakazi wa heslb kuzunguzua jambo hilo?

Kutuambia sisi kwamba kamati yako ya uchunguzi juu ya mikopo kukataliwa kutia mguu heslb, ina maanisha nini na hasa kwako wewe kama waziri?
 
Sis kama mwanafumzi wa elimu ya juu hatujui tunapoelekea na hii hali ya bodi ga mkopo.

Mwaka jana baadhi yetu tulipata mkopo kiasi cha laki nne pamoja na boom.. Ada yangu ni milioni na nusu kwa mwaka. Nilikuwa najinyimnma sana ili angalau ni nibalance ela ya boom kulipia ada pamoja na support ndogo ndogo toka nyumbani (japo nyumbani amna tegemeo lolote kiivo 😭😭(umaskinj)) .

Leo hii kuna mdogo wangu ameingia kwenye accout yake ya SIPA anakuta BOOM lenyewe limepunguzwa toka laki tano hadi laki nne (mimj yangu haijawa allocated)..
Na sio huyo mdogo wangu tu.. Marafiki zangu wanaosoma chuo jirani nao wanasema vivyo hivyo.

Mwaka huu kabla ya kufunga chuo semester ya pili boom tulisaini pia tulikuta limepunguzwa toka laki tano hadi laki tatu na sabini (et kisa semester ni fupi)... Hapo sina ela ya stationery, amna ela ya field .. Nilikopa madeni kwa marafiki zangu nikamalizia ada ili nije niwalipe nikisain boom.. Hadi leo sijalipia😭😭😭(Umaskini)..

Jumatatu tarehe saba tunatarajia kufungua chuo .. Hali ngumu kwetu tunaotegemea boom.. Huruhsiwi kusaini ela yako eti Mpaka ulipie direct cost na ela nusu ada ya semester ya kwanza.. (Wenye mamlaka tunaomba mtuzingatie katika hili.)
Yaani mtu unategemea usaini boom ndo ulipie direct cost halafu chuoni wanasema lazima ulipie direct cost na nusu ada ndo usaini..😭😭.. Sasa boom linahusiana vipi na mambo ya direct cost?? Mbona hivi vyuo vinatunyanyasa lakini?? Ukienda kujitetea wakuruhusu usaini boom kwanza hamna hata wa kukujali..
Please VIONGOZI mnaohusika na hata maswala tusaidieni... Na naomba kujua kwamba hizi ela zinazopunguzwa.. Toka laki tano to lakin tatu, laki tani, mtazi exclude kipindi tunarejesha hizi fedha?? Kama amna, kwa nini allocation isome laki tano halafu tunapokea laki nne?? Et kisa semester ni fupi? Mtu ameshanyimwa ela ya field, books and stationary na bado mnampunguzia ela zake.. Hivi ni kweli?? 😭😭😭😭..
Wengine wanapokea asilimia mia ya ada, boom, books and stationary na hata sio walemavu.. Ila dah😭😭😭😭
 
Sis kama mwanafumzi wa elimu ya juu hatujui tunapoelekea na hii hali ya bodi ga mkopo.

Mwaka jana baadhi yetu tulipata mkopo kiasi cha laki nne pamoja na boom.. Ada yangu ni milioni na nusu kwa mwaka. Nilikuwa najinyimnma sana ili angalau ni nibalance ela ya boom kulipia ada pamoja na support ndogo ndogo toka nyumbani (japo nyumbani amna tegemeo lolote kiivo (umaskinj)) .

Leo hii kuna mdogo wangu ameingia kwenye accout yake ya SIPA anakuta BOOM lenyewe limepunguzwa toka laki tano hadi laki nne (mimj yangu haijawa allocated)..
Na sio huyo mdogo wangu tu.. Marafiki zangu wanaosoma chuo jirani nao wanasema vivyo hivyo.

Mwaka huu kabla ya kufunga chuo semester ya pili boom tulisaini pia tulikuta limepunguzwa toka laki tano hadi laki tatu na sabini (et kisa semester ni fupi)... Hapo sina ela ya stationery, amna ela ya field .. Nilikopa madeni kwa marafiki zangu nikamalizia ada ili nije niwalipe nikisain boom.. Hadi leo sijalipia(Umaskini)..

Jumatatu tarehe saba tunatarajia kufungua chuo .. Hali ngumu kwetu tunaotegemea boom.. Huruhsiwi kusaini ela yako eti Mpaka ulipie direct cost na ela nusu ada ya semester ya kwanza.. (Wenye mamlaka tunaomba mtuzingatie katika hili.)
Yaani mtu unategemea usaini boom ndo ulipie direct cost halafu chuoni wanasema lazima ulipie direct cost na nusu ada ndo usaini.... Sasa boom linahusiana vipi na mambo ya direct cost?? Mbona hivi vyuo vinatunyanyasa lakini?? Ukienda kujitetea wakuruhusu usaini boom kwanza hamna hata wa kukujali..
Please VIONGOZI mnaohusika na hata maswala tusaidieni... Na naomba kujua kwamba hizi ela zinazopunguzwa.. Toka laki tano to lakin tatu, laki tani, mtazi exclude kipindi tunarejesha hizi fedha?? Kama amna, kwa nini allocation isome laki tano halafu tunapokea laki nne?? Et kisa semester ni fupi? Mtu ameshanyimwa ela ya field, books and stationary na bado mnampunguzia ela zake.. Hivi ni kweli?? ..
Wengine wanapokea asilimia mia ya ada, boom, books and stationary na hata sio walemavu.. Ila dah
Tuko wengii , umeongea kwa hisia polee
 
Tukiachana na yote, Prof. Kabudi aliimudu sana wizara ya sheria na katiba, Dkt.Gwajima aliimudu wizara ya afya na Prof. ndalichako aliimudu wizara ya elimu
 
Back
Top Bottom