riro23 JF-Expert Member Sep 16, 2013 788 770 Nov 10, 2019 #1 Wadau kuna ndugu yangu alikuwa mnufaika/alipata mkopo wakati anasoma masomo ya elimu ya chuo kikuu miaka ya nyuma. Kwa sasa ni marehemu, je Sheria inasemaje ili afutiwe deni lake? Nawasilisha.
Wadau kuna ndugu yangu alikuwa mnufaika/alipata mkopo wakati anasoma masomo ya elimu ya chuo kikuu miaka ya nyuma. Kwa sasa ni marehemu, je Sheria inasemaje ili afutiwe deni lake? Nawasilisha.
Kirchhoff JF-Expert Member Nov 4, 2010 5,363 7,602 Nov 10, 2019 #2 Ninyi nduguze malizieni deni maana mmenufaika "indirectly". Awamu hii hatupotezi hata Senti.
General Akudo JF-Expert Member Nov 28, 2017 560 824 Nov 10, 2019 #3 bodi ya mikopo ipo na shida kwa sababu wapo watu walinufaika na mkopo walimaliza 2008 huko na wanafanya kazi hawakatwi. wapo waliosoma wapo mtaani wanafanya biashara, sijaona na sijui bodi ya mikopo itatumia njia gani kuwafikia. so far wanatumia njia rahisi kuwabana waajiri, mfumo wa "ridhiki kitako" yaan hakuna hassle sasa bwa sheikh inapofika marehemu, NO SIGNAL
bodi ya mikopo ipo na shida kwa sababu wapo watu walinufaika na mkopo walimaliza 2008 huko na wanafanya kazi hawakatwi. wapo waliosoma wapo mtaani wanafanya biashara, sijaona na sijui bodi ya mikopo itatumia njia gani kuwafikia. so far wanatumia njia rahisi kuwabana waajiri, mfumo wa "ridhiki kitako" yaan hakuna hassle sasa bwa sheikh inapofika marehemu, NO SIGNAL
B BEHOLD JF-Expert Member Nov 17, 2013 5,057 10,715 Nov 11, 2019 #4 Kama mkopo ulikuwa na bima ya ku-cover jambo kama hilo, bima italipa. Kama ilikuwa vinginevyo estate yake itahusika kulipa. Soma terms na conditions za fomu ya mkopo utaelewa.
Kama mkopo ulikuwa na bima ya ku-cover jambo kama hilo, bima italipa. Kama ilikuwa vinginevyo estate yake itahusika kulipa. Soma terms na conditions za fomu ya mkopo utaelewa.