Unataka kuanza kulipa? Wewe ni mzalendo kwa bodi sio nchi.Mimi wanachonikera ni kupata online control namba, ni mtahangaika weee mwisho haipatikani basi unajikuta kila mwezi una route za kuhudhuria loan board kama waenda clinic.
Kuna namna hela zetu zinatafunwa sana apo bodi.pamoja na penati yao na deni lote walonipa bado wananiongezea deni lingine tena.Bodi ya Mikopo ni kero kubwa Sana, uongozi wa pale inatakiwa ubadilishwe kuna Majambazi, Wahuni, wezi wako pale wanashirikiana na watu wa Hazina kupiga Hela za watu.
Lakini kuna siku hizo hela zitawatokea puani, Watu wengi wamemaliza Marejesho lakini kwenye salary slip bado yanakata, cha ajabu Mwezi January wamerekibisha watu wa Hazina na kupunguza deni kutokana na retention fees upumbavu uliofanyika Mwezi huu February ni ajabu kabisa wameongeza deni, tena Baya zaidi wakabadilisha na salary slip ya January.
Hili Mama Samia simamia haya Majambazi yaondoe, Haiwezekani Bodi na Hazina wasipeane Taarifa na mtu akapata haki yake.
Control namba kwa ajili ya kulipa makato ya staffs wenye madeniUnataka kuanza kulipa? Wewe ni mzalendo kwa bodi sio nchi.
Ohoo basi sawa.Control namba kwa ajili ya kulipa makato ya staffs wenye madeni
Dahh.. sasa mbona sio po
Yaani Huu uchafu waendelee kuufanya kuna siku utawagharimu , Haiwezekani salary slip deni liwe juu Huku Bodi liko Chini au limeisha Huu upumbavu wa Hali ya Juu kabisa, Kwani Hizi Taasisi Hazina mawasiliano ,Mbona kukata wako fastaKuna namna hela zetu zinatafunwa sana apo bodi.pamoja na penati yao na deni lote walonipa bado wananiongezea deni lingine tena.
Kwahiyo hii niiache sio?
Aisee kwel bodi nikama corana aya madeni tukubali kuishi nayoHawa jamaa hata mimi wameniongezea 1.3 million, wanasema eti boom langu walidouble, nikawambia kwenye account yangu ya bank hiyo hela haikuwekwa. Wakadai ilipitia chuo lakini ukweli ni kwamba hata ingepitia chuo lazima kwenye account kiasi hicho kingeonekana. Huo ubabaishaji wa loan board ni hatari kwa beneficiary.