Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,462
- 2,219
Jaman bodi majin lin kuna w2 awajalipoti chuo mpaka sasa na nyie mpo kimya mwenye taarifa yoyote atujuze
Weka link au PDF hapa.Majina ya awamu ya tatu tayari
Bro usijifanye hujaona reply,,.. Let's link au PDF hapa, watu waone hiyo third batch au ndo unaiandaaMajina ya awamu ya tatu tayari
Usinilazimishe sasaBro usijifanye hujaona reply,,.. Let's link au PDF hapa, watu waone hiyo third batch au ndo unaiandaa
Watu kibao sio wew umeenda ukazani wote kakaWatu hawajaenda chuon au ww ndo bado hujaenda chuoni
Nitashangaa sana kama utajitatanabaisha nawe kuwa ni mhitimu wa kidato cha sita.Jaman bodi majin lin kuna w2 awajalipoti chuo mpaka sasa na nyie mpo kimya mwenye taarifa yoyote atujuze
Kwa nini utashangaa kijanaNitashangaa sana kama utajitatanabaisha nawe kuwa ni mhitimu wa kidato cha sita.
Hivi matumizi ya R na L huwa shile zetu hazifundishi? Watu wengi sana wanashindwa kutofautisha. Sasa kulipoti ndio nini.Jaman bodi majin lin kuna w2 awajalipoti chuo mpaka sasa na nyie mpo kimya mwenye taarifa yoyote atujuze
Hili ni zaidi ya tatizo, especially kwa wasomiHivi matumizi ya R na L huwa shile zetu hazifundishi? Watu wengi sana wanashindwa kutofautisha. Sasa kulipoti ndio nini.
Dah very sad. Ndio maana elimu ya TZ sijawahi kuikubali. Sasa walimu kama wasahihisha mitihani hawaliomi hili?Hili ni zaidi ya tatizo, especially kwa wasomi
Ni aibu kweliWanafunzi watakatifu watarajiwa wa chuo kikuu huwa mnaandikaje?Ety "WATU TUNASUBILIA"
Mimi nimesoma nchi jirani both primary and secondary education. Ukikosea spellings kwenye paper iwe ni kiingereza au kiswahili unakosa swali zima. Especially kwenye masomo ya science ndio kabisa. Ukikosea scientific terms ndio kabisa.Ni aibu kweli
shile
Wapenda sifa wote niliowahi kusoma nao walikuwa wana uwezo mkubwa darasani ikiwemo mimifrech country boy ujui kutofautisha kati ya error and mistake cjui mmexoma wap afu amuangalii occupation kuwa hii lugha inatumika wapi nyinyi kweli vilaza afu wapenda sifa wa2 kama nyinyi class huwa mnashika mkia