Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi zote duniani huheshimiana mipaka na kutoingiliana mambo ya ndani.Nchi zote duniani huwa na mahusiano katika mambo kadhaa wanayokubaliana.Nje ya yale wasiyokubaliana huwa hakuna mahusiano.
Tanzania bara na Zanzibar tuna mahusiano kati baadhi ya mambo ambayo yako katika katiba.Katika mambo hayo ya uhusiano swala la uchaguzio wa Zanzibar si la muungano na halimhusu raisi wa muungano sababu raisi wa muungano kazi yake ni kushughulikia mambo yale tu ya muungano na si yale yasiyo ya kimuungano.
Raisi wa Tanzania haiwezi ingilia mambo ya nchi yoyote ile iwe marekani au Zanzibar.
Bill Gate na MCC na wafadhili wote na watoa misaada hilo walielewe na wasichanganye mambo na kutupa masharti ya eti raisi atatue matatizo ya uchaguzi zanzibar si sahihi.Zanzibar ni nchi huru kama marekani.Hivi bunge la marekani laweza sema hatupitishi bajeti ya marekani hadi marekani itatue tatizo la zanzibar?
Mambo ya Zanzibar ni kama ya burundi nk ambapo kinachotakiwa ni kuomba ikiwezekana Raisi wa Muungano au hata wa burundi asaidie kumaliza mgogoro zanzibar.
Hili la kushinikizana si haki.Na wamarekani na jumuiya ya kimataifa ni vizuri wakawajua CUF vizuri kama hawawajui shauri yao.Kitendo cha MCC kutishia kutoipa misaada Tanzania Sijakipenda nadhani wana mshauri mbaya sana tena sana asiyesoma katiba ya Tanzania wala kujua uhusiano uliopo kati ya Raisi wa Muungano wa Tanzania Na Zanzibar.
Zanzibar ni nchi huru kama ambavyo akina Seif Sharif Hamad wanavyobwata Sasa zigo hilo linalowahusu nchi yao walimalize wenyewe kwa nini waitumbukize kwa Raisi wa Jamhuri ya muungano ambaye halimhusu na kufitini kwa wafadhili nchi ikose misaada?
Tunaomba wafadhili na watoa misaada msituonee kama ambavyo sisi hatuwaonei wawekezaji wenu toka nchi zenu.
Nchi zote duniani huheshimiana mipaka na kutoingiliana mambo ya ndani.Nchi zote duniani huwa na mahusiano katika mambo kadhaa wanayokubaliana.Nje ya yale wasiyokubaliana huwa hakuna mahusiano.
.....
Hili la kushinikizana si haki.Na wamarekani na jumuiya ya kimataifa ni vizuri wakawajua CUF vizuri kama hawawajui shauri yao.Kitendo cha MCC kutishia kutoipa misaada Tanzania Sijakipenda nadhani wana mshauri mbaya sana tena sana asiyesoma katiba ya Tanzania wala kujua uhusiano uliopo kati ya Raisi wa Muungano wa Tanzania Na Zanzibar.
Zanzibar ni nchi huru kama ambavyo akina Seif Sharif Hamad wanavyobwata Sasa zigo hilo linalowahusu nchi yao walimalize wenyewe kwa nini waitumbukize kwa Raisi wa Jamhuri ya muungano ambaye halimhusu na kufitini kwa wafadhili nchi ikose misaada?
Tunaomba wafadhili na watoa misaada msituonee kama ambavyo sisi hatuwaonei wawekezaji wenu toka nchi zenu.
Hili la kushinikizana si haki.Na wamarekani na jumuiya ya kimataifa ni vizuri wakawajua CUF vizuri kama hawawajui shauri yao.
Soko kubwa la dhahabu liko wapi????!!!!
Tuiombee nchi yetu turudishiwe pesa za wakwepa kodi. Tukipata hizo tutakuwa hatuhitaji pesa ya mtu au nchi yeyote. Tumuombee Rais wetu Dr. Makufuli asilegeze kamba azidi kutumbua majipu ambayo yamejificha.
I BELIEVE LIKO EUROPE, NA PROCESSOR WAKUBWA WA RAW MATERIALS ZETU MAJORITY NI EUROPE PIA AMERICA, TATIZO TUNAKUWA MASHABIKI TU BILA KUYAELEWA MAMBO, NCHI HII BADO INASUMBUKA NA KIPINDUPINDU 53 Yrs AFTER UHURU UKU WENGINE WANADAI TUJITEGEMEE, TUSISAHAU RUSIA KASALIMU AMRI KWA AMERICA, NADHANI UWE TUNASOMA PIA KUSIKILIZA VYOMBO VYA HABARI VIZURI... SISI KUJITEGEMEA KINADHARIA SAWA ILA KWA VITENDO BADO SANA.
KICHEKESHO.