Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Kufuatia kitendo cha mchezaji wa Yanga Kelvin Yondani kutemea mate Asante Kwasi wa Simba SC, Aprili 29 katika mechi namba 178 kwenye patashika ya mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL), mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Boniface Wambura, ametangaza kusimamishwa kucheza mpira huku suala lake likipelekwa kwenye kamati ya nidhamu litakapotelewa uamuzi.