Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi ya Wakurugenzi na Watendaji ya Barrick Corporation Group...

Travelogue_tz

JF-Expert Member
Sep 28, 2010
848
1,212
bat-jpeg.523912

Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi na Watendaji wa Barrick iliundwa kwa lengo la kutoa ushauri katika Nyanja za kisiasa, kijografia na masuala mbalimbali ya kimkakati yanayoweza kuathiri uendeshaji wa kampuni.

Ni wazi kwamba Barrick kama Mwanahisa Mkubwa (Majority shareholder ) wa Acacia, inayomiliki zaidi ya hisa asilimia 60 inaathirika zaidi na mgogoro unaoendelea kati ya Acacia na Serikali ya JPM.

Kwa mujibu wa malengo ya uanzishwaji wa Bodi, moja ya kazi zake kuu ni kuishauri Bodi ya Wakurugenzi na watendaji katika kutatua migogoro na hivyo kuhakikisha kampuni inajiendesha kwa faida na hivyo kulinda Imani ya wanahisa na wadau mbalimbali kwa kampuni.

Bila shaka katika hili la Zuio la Mchanga, Ripoti ya Prof. Mruma, kushuka kwa mapato ya Acacia, kuporomoka kwa thamani ya hisa zake katika masoko ya hisa ya dunia ni lazima litapelekea wajumbe hawa muhimu kukaa na kutoa maelekezo kwa Bodi ya Wakurugenzi au kufanya jambo kutokana na uzoefu na ushawishi wao.

Safu ya wajumbe hawa imesheheni watu maarufu, wanasiasa wenye ushawishi zaidi duniani na historia mbalimbali, mambo yanayofanya mgogoro huu kuwa na dhana ya umakini wa Tanzania katika kufikia malengo yake.

Wafuatao ni baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Kimataifa ya Ushauri na wasifu wao;

1. Mwenyekiti ni Hon. Brian Mulroney ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Canada kati ya Mwaka Prime Minister 1984-1993

2. Mh.. José María Aznar ( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Hispania kati ya Mwaka 1996-2004.

3. Hon. John R. Baird( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada kati ya Mwaka 2011-2015

4. Gustavo A. Cisneros ( Mjumbe) , ambaye ni mfanyabiashara maarufu Nchini Dominica na Mwenyekiti wa Makampuni ya Cisneros Group of Companies

5. Secretary William S. Cohen( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Seneta wa Marekani kati ya Mwaka 1979-1997 na pia Waziri wa Ulinzi wa Marekani kati ya Mwaka 1997-2001

6. Mhe. Newt Gingrich ( Mjumbe) , amewahi kuwa Spika wa 50 wa Bunge la Wawakilishi la Marekani (Speaker of the House of Representatives) kati ya Mwaka 1995-1999. Mwaka 2012, Gingrich alikuwa Mmoja wa watafuta uteuzi wa nafasi ya Urais ndani ya Chama cha Republican. (
https://en.wikipedia.org/wiki/Newt_Gingrich)

7. Mhe.Karl-Theodor zu Guttenberg ( Mjumbe), amewahi kuwa Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani kati ya Mwaka 2009-2011.

8. Mhe. Lord Charles Powell of Bayswater KCMG( Mjumbe), ambae amewahi kuwa mshauri wa sera wa mambo ya nje wa Waziri Mkuu wa Uingereza Margaret Thatcher 1983-1991.

9.
Mhe. Vernon E. Jordan, Jr. ( US) , ambae amewahi kuwa mshauri wa karibu wa masuala ya sheria wa Rais wa Marekani bwana Bill Clinton kati ya mwaka 1992-1993, mbali na hilo Vernon anatajwa kuwa Mfanyabiashara maarufu na Mtetezi wa haki za binadamu mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Marekani. Pia amehusika kwa kiwango kikubwa katika kashfa ya ngono maarufu kama Clinton–Lewinsky scandal.
10. Wengine ni Andrónico Luksic (Chile), Peter Munk
Canada (Founder and Chairman Emeritus, Barrick Gold Corporation) na John L. Thornton
United States (Executive Chairman, Barrick Gold Corporation).

NB: Andiko hili halina lengo la kuwakatisha tamaa, bali kufahamu vizuri adui yako, na pengine inaweza kuamua aina ya mbinu inayoweza kutumika kufikia ushindi.
 
kila mchuma janga hula na nduguze kama ni ushauri toka kwa kagame na bashite basi najua huko kigali wanakula shampeni maana muda si mrefu tutaanguka kiuchumi na wao watazitumia rasilimali zetu kama zao kwa kigezo cha ushirikiano ili tuinuke tena.........
hahahahahah nani alikwambia kua kagame ana urafiki wa kweli? nani asiejua kua kagame alibadilishia gia angani kwakua chaguo lake lilikua lowasa? baada ya kuona hakuna namna na huyu jamaa ndio mkulu akamuingia na gia ya kuwa wowe ni wachu, kumbe danganya toto jinga then ulidhibiti.......
JK pole sana na ile operesheni kimbunga yako ambayo ilikua ya kizalendo na yenye lengo la kunusuru nchi yetu toka katika mikono ya watutsi wenye roho mbaya wenye kuitamani na kuihusudu nchi yetu....

sasas twaafwaaaa rasmi
 
Mimi namuogopa zaidi rais wa nchi kuliko wajumbe wa bodi wa kampuni! Bila Libya na Iran kujitoa kwenye makampuni haya ya wakoloni wanaotunyonya kwa mgongo wa uwekezaji, wasingewahi kuonja ladha ya raslimali kuu waliyo nayo ambayo ni mafuta. Wakati wa Gaddaffi, mafuta yalikuwa baraka-tofauti na Nigeria ambako mafuta ni laana(ref. Niger Delta).

Hawa wawekezaji lazima tuwakazie ili siku nyingine wajiulize kuja kuwekeza kama malengo yao ni kutuibia. Tena Afrika yote ikiiga haya yaliyofanyika Tanzania, tutaanza kuwa na uwekezaji wenye tija Afrika nzima. Lazima ulimwengu wa wawekezaji utambue kuwa kuhonga wanasiasa wachache hakukupi nafasi ya kuwaibia raia wote kwa wakati wote.
 
Haijalishi hiyo Bodies ya Barrick imeundwa na wajumbe wa kaliba gani na ushawishi wa aina gani hayo ni ya kwao wao.

Sisi tunachoangalia na rasilimali zetu na mwekezaji anayetuibia mchanga jua linawaka kwa kutia taarifa ya uongo kuhusu kilichopo ndani ya makontena.

Huyo kwa Serikali hii ya Rais Magufuli hana nafasi Hata alie machozi ya damu hana nafasi huyo hafai kuendelea kuwa na sifa uwekezaji nchini.
 
Nchi tunaipenda sana na tutaumia sote ila kwa kuwa ccm haitakiwi wacha tuvurugwe na tuvuliwe nguo maana haya yote ccm waliyabariki akiwemo aliyeliamsha dude.
 
Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi na Watendaji wa Barrick iliundwa kwa lengo la kutoa ushauri katika Nyanja za kisiasa, kijografia na masuala mbalimbali ya kimkakati yanayoweza kuathiri uendeshaji wa kampuni.

Ni wazi kwamba Barrick kama Mwanahisa Mkubwa (Majority shareholder ) wa Acacia, inayomiliki zaidi ya hisa asilimia 60 inaathirika zaidi na mgogoro unaoendelea kati ya Acacia na Serikali ya JPM.

Kwa mujibu wa malengo ya uanzishwaji wa Bodi, moja ya kazi zake kuu ni kuishauri Bodi ya Wakurugenzi na watendaji katika kutatua migogoro na hivyo kuhakikisha kampuni inajiendesha kwa faida na hivyo kulinda Imani ya wanahisa na wadau mbalimbali kwa kampuni.

Bila shaka katika hili la Zuio la Mchanga, Ripoti ya Prof. Mruma, kushuka kwa mapato ya Acacia, kuporomoka kwa thamani ya hisa zake katika masoko ya hisa ya dunia ni lazima litapelekea wajumbe hawa muhimu kukaa na kutoa maelekezo kwa Bodi ya Wakurugenzi au kufanya jambo kutokana na uzoefu na ushawishi wao.

Safu ya wajumbe hawa imesheheni watu maarufu, wanasiasa wenye ushawishi zaidi duniani na historia mbalimbali, mambo yanayofanya mgogoro huu kuwa na dhana ya umakini wa Tanzania katika kufikia malengo yake.

Wafuatao ni baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Kimataifa ya Ushauri na wasifu wao;

1. Mwenyekiti ni Hon. Brian Mulroney ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Canada kati ya Mwaka Prime Minister 1984-1993

2. Mh.. José María Aznar ( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Hispania kati ya Mwaka 1996-2004.

3. Hon. John R. Baird( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada kati ya Mwaka 2011-2015

4. Gustavo A. Cisneros ( Mjumbe) , ambaye ni mfanyabiashara maarufu Nchini Dominica na Mwenyekiti wa Makampuni ya Cisneros Group of Companies

5. Secretary William S. Cohen( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Seneta wa Marekani kati ya Mwaka 1979-1997 na pia Waziri wa Ulinzi wa Marekani kati ya Mwaka 1997-2001

6. Mhe. Newt Gingrich ( Mjumbe) , amewahi kuwa Spika wa Bunge la Wawakilishi la Marekani (Speaker of the House of Representatives) kati ya Mwaka 1995-1999

7. Mhe.Karl-Theodor zu Guttenberg ( Mjumbe), amewahi kuwa Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani kati ya Mwaka 2009-2011.

8. Mhe. Lord Charles Powell of Bayswater KCMG( Mjumbe), ambae amewahi kuwa mshauri wa sera wa mambo ya nje wa Waziri Mkuu wa Uingereza Margaret Thatcher 1983-1991.

9. Wengine ni Vernon E. Jordan, Jr. ( US) , Andrónico Luksic (Chile), Peter Munk
Canada (Founder and Chairman Emeritus, Barrick Gold Corporation) na John L. Thornton
United States (Executive Chairman, Barrick Gold Corporation).

NB: Andiko hili halina lengo la kuwakatisha tamaa, bali kufahamu vizuri adui yako, na pengine inaweza kuamua aina ya mbinu inayoweza kutumika kufikia ushindi.
Watalipa, watalipa tu!! Ama watumie umaarufu wao kutufanya walivyoifanya Libya, na dunia itajua uhuni huo
 
"1 Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu. 2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, kando ya maji ya utulivu huniongoza.
3 Hunihuisha nafsi yangu na kuniongoza katika njia za haki kwaajili ya jina lake.
4 Naam nijapopita Kati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya;
Kwa maana wewe upo pamoja nami,
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
5 Waandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu.
Umenipaka mafuta kichwani pangu, na kikombe changu kinafurika.
6 Hakika Wema na fadhili zitanifuata sikuzote za maisha yangu; nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.

Tuitegemee sana hii sala ill Mungu awe upande wetu maana tayari sheria iko upande wao .
Here we need a prayer more than a plan .
 
Hata wangekuwa malaika lakini kweli itabaki kuwa kweli tu,na uzuri wa kweli huwa haina upande husimama na alie izungumza.Kama itakuwa serikali au barrick ndio yenye kweli basi itasimama upande wa alie isimamia .
 
Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi na Watendaji wa Barrick iliundwa kwa lengo la kutoa ushauri katika Nyanja za kisiasa, kijografia na masuala mbalimbali ya kimkakati yanayoweza kuathiri uendeshaji wa kampuni.

Ni wazi kwamba Barrick kama Mwanahisa Mkubwa (Majority shareholder ) wa Acacia, inayomiliki zaidi ya hisa asilimia 60 inaathirika zaidi na mgogoro unaoendelea kati ya Acacia na Serikali ya JPM.

Kwa mujibu wa malengo ya uanzishwaji wa Bodi, moja ya kazi zake kuu ni kuishauri Bodi ya Wakurugenzi na watendaji katika kutatua migogoro na hivyo kuhakikisha kampuni inajiendesha kwa faida na hivyo kulinda Imani ya wanahisa na wadau mbalimbali kwa kampuni.

Bila shaka katika hili la Zuio la Mchanga, Ripoti ya Prof. Mruma, kushuka kwa mapato ya Acacia, kuporomoka kwa thamani ya hisa zake katika masoko ya hisa ya dunia ni lazima litapelekea wajumbe hawa muhimu kukaa na kutoa maelekezo kwa Bodi ya Wakurugenzi au kufanya jambo kutokana na uzoefu na ushawishi wao.

Safu ya wajumbe hawa imesheheni watu maarufu, wanasiasa wenye ushawishi zaidi duniani na historia mbalimbali, mambo yanayofanya mgogoro huu kuwa na dhana ya umakini wa Tanzania katika kufikia malengo yake.

Wafuatao ni baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Kimataifa ya Ushauri na wasifu wao;

1. Mwenyekiti ni Hon. Brian Mulroney ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Canada kati ya Mwaka Prime Minister 1984-1993

2. Mh.. José María Aznar ( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu wa Hispania kati ya Mwaka 1996-2004.

3. Hon. John R. Baird( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada kati ya Mwaka 2011-2015

4. Gustavo A. Cisneros ( Mjumbe) , ambaye ni mfanyabiashara maarufu Nchini Dominica na Mwenyekiti wa Makampuni ya Cisneros Group of Companies

5. Secretary William S. Cohen( Mjumbe) ambae amewahi kuwa Seneta wa Marekani kati ya Mwaka 1979-1997 na pia Waziri wa Ulinzi wa Marekani kati ya Mwaka 1997-2001

6. Mhe. Newt Gingrich ( Mjumbe) , amewahi kuwa Spika wa Bunge la Wawakilishi la Marekani (Speaker of the House of Representatives) kati ya Mwaka 1995-1999

7. Mhe.Karl-Theodor zu Guttenberg ( Mjumbe), amewahi kuwa Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani kati ya Mwaka 2009-2011.

8. Mhe. Lord Charles Powell of Bayswater KCMG( Mjumbe), ambae amewahi kuwa mshauri wa sera wa mambo ya nje wa Waziri Mkuu wa Uingereza Margaret Thatcher 1983-1991.

9. Wengine ni Vernon E. Jordan, Jr. ( US) , Andrónico Luksic (Chile), Peter Munk
Canada (Founder and Chairman Emeritus, Barrick Gold Corporation) na John L. Thornton
United States (Executive Chairman, Barrick Gold Corporation).

NB: Andiko hili halina lengo la kuwakatisha tamaa, bali kufahamu vizuri adui yako, na pengine inaweza kuamua aina ya mbinu inayoweza kutumika kufikia ushindi.
Huyu huyu shujaa wetu wa mchanga wa dhahabu ,asije ishia kama Goliath
 
Hayo ndo madude sasa mkishauliwa sio yakuingiliwa kwa nguvu hamtaki... Nyoo UZARENDO ni kuingia kuvunja mikataba bila kutumia AKILI? NA
 
Back
Top Bottom