Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jamani watanzania utaratibu huu wa mpya wa bodi unakidhi haja ya wanavyuo?
Kuna issue fulan ya fedha za mikopo kupelekwa kwenye mikono ya wahasibu wa vyuoni na wanafunzi kuzichukua kwa kupanga folen badala kuwekewa kwenye a/c zao.Mi najiuliza kwamba je wahasibu hawatategeka kukimbia na rundo la hela hususan kwenye vyuo vinavyochukua wanafunzi wengi kama UDOM?