The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
Hivi viongozi wetu huwa hawasafiri na kuona miji mingine mikubwa
inavyo endeshwa????????
hivi hizi bodaboda zinavyo ongezeka na bajaji na kuzidisha kero jijini hapa
hakuna anaetazama na kuliona hili???????
hizi bodaboda zimeshakuwa' uchafu mtupu' halafu madereva wake ni jeuri na
hawajui sheria za barabarani...wanasababisha ajali na wao ndo wanakuwa wakali....
hivi kuna chombo kinacho regulate hizi bodaboda na bajaji?
ziko ngapi now daresalaam mfano? tutajuaje kuwa zimezidi mahitaji?
hivi ni lazima hili jiji liwe na boda boda na bajaji??????
mtu anaendesha gari,ghafla unakuta kulia kuna bodaboda na kushoto pia..
wakigongwa wanakuja juu na ugomvi....wameanza na tabia ya kuchoma magari wanapogongwa..
imetokea juzi tegeta.....
hivi hili jiji kuwa na ma meya zaidi ya sita na wakuu wa wilaya na mkoa inasaidia nini???????
inavyo endeshwa????????
hivi hizi bodaboda zinavyo ongezeka na bajaji na kuzidisha kero jijini hapa
hakuna anaetazama na kuliona hili???????
hizi bodaboda zimeshakuwa' uchafu mtupu' halafu madereva wake ni jeuri na
hawajui sheria za barabarani...wanasababisha ajali na wao ndo wanakuwa wakali....
hivi kuna chombo kinacho regulate hizi bodaboda na bajaji?
ziko ngapi now daresalaam mfano? tutajuaje kuwa zimezidi mahitaji?
hivi ni lazima hili jiji liwe na boda boda na bajaji??????
mtu anaendesha gari,ghafla unakuta kulia kuna bodaboda na kushoto pia..
wakigongwa wanakuja juu na ugomvi....wameanza na tabia ya kuchoma magari wanapogongwa..
imetokea juzi tegeta.....
hivi hili jiji kuwa na ma meya zaidi ya sita na wakuu wa wilaya na mkoa inasaidia nini???????