Gari zimewaka moto kama hamsini na watu wengi wamekufa, Ni Congo kilometa chache baada ya boda kuna sehemu inaitwa Wisk, kuna parking kubwa ya malori. Chanzo ni gari linalobeba mafuta(tanker) ya South Africa ilokua imebeba Petrol, iligonga tank lake kwenye trailer ya lory jingine, ndipo ukalipuka na moto kusambaa kwenye magari.