mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Boda boda wenye hasira wamechoma gari, boko dawasco, msimuliaji anadai ilikuwa mida kama saa sita hivi . Jamaa ambaye akutambulika alimugonga dereva wa boda boda na kufariki hapo hapo ndipo akatokea vurugu kubwa zilizosababisha kuchoma gari.