Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,480
- 5,504
Habari za wakati huu;
Kwanza kabisa nitanguliza shukrani za dhati kwa mwenyezi Mungu kwa neema zake.Leo nataka tuzungumzie issue ya BODI ya kampuni na umuhimu wake.Kampuni nyingi private huwa zinafeli kwa sababu ya kuwa na BODI(BOARD ambayo ni pungufu)
Ni muhimu kwa mmiliki kwa mjumbe wa bodi lakini anao uwezo wa kuteua BOARD members ambao sio wamiliki lakini ambao watasaidia kampuni kufikia malengo yake.Kwa mfano unapounda kampuni ya Constructionni muhimu uwe na board member mmoja ambaye ama ni mdau wa sector au ni mtu nyeti katika sekta mfano kutoka katika taasisi za manunuzi za serikali au private.
Sheria inamkataza board member kutumia nafasi yake kufaidika na kampuni husika lakini haimzuii kufaidisha kampuni yake katika nafasi yake nyingine provided sio board member huko(Wanasheria watafafanua zaidi)
Kwa maana nyingine wewe ukiwa na board member ambaye Mtu mzito TANROADS basi unaweza kufahamu ya TANROAD mapema kuliko kampuni nyingine na hata ukawa na advantage.
Swali la kujiuliza je unaweza kumteua mtu awe BOARD member wa kikampuni chako kipya,utamlipaje?Ana mamlaka gani?Hayo ni maswala ambayo yanahitaji kujadiliwa zaidi na wadau humu ndani ila kadiri BODI ya kampuni inapokuwa na watu wenye influence ndivyo uwezekano wa kampuni kufanikiwa unaongezeka.
Nawatakieni kila heri katika mjada huu.
Kwanza kabisa nitanguliza shukrani za dhati kwa mwenyezi Mungu kwa neema zake.Leo nataka tuzungumzie issue ya BODI ya kampuni na umuhimu wake.Kampuni nyingi private huwa zinafeli kwa sababu ya kuwa na BODI(BOARD ambayo ni pungufu)
Ni muhimu kwa mmiliki kwa mjumbe wa bodi lakini anao uwezo wa kuteua BOARD members ambao sio wamiliki lakini ambao watasaidia kampuni kufikia malengo yake.Kwa mfano unapounda kampuni ya Constructionni muhimu uwe na board member mmoja ambaye ama ni mdau wa sector au ni mtu nyeti katika sekta mfano kutoka katika taasisi za manunuzi za serikali au private.
Sheria inamkataza board member kutumia nafasi yake kufaidika na kampuni husika lakini haimzuii kufaidisha kampuni yake katika nafasi yake nyingine provided sio board member huko(Wanasheria watafafanua zaidi)
Kwa maana nyingine wewe ukiwa na board member ambaye Mtu mzito TANROADS basi unaweza kufahamu ya TANROAD mapema kuliko kampuni nyingine na hata ukawa na advantage.
Swali la kujiuliza je unaweza kumteua mtu awe BOARD member wa kikampuni chako kipya,utamlipaje?Ana mamlaka gani?Hayo ni maswala ambayo yanahitaji kujadiliwa zaidi na wadau humu ndani ila kadiri BODI ya kampuni inapokuwa na watu wenye influence ndivyo uwezekano wa kampuni kufanikiwa unaongezeka.
Nawatakieni kila heri katika mjada huu.