kuna kitu kinaitwa clutch moment, kinawahusu sana wachezaji wakubwa, wanaolipwa hela nyingi kwenye timu, ma kapteni n.k.
clutch moment ni ule muda mahsusi ambao timu yako inakutegemea ufanye mambo makubwa
huyu mtu kakosa penalti iliyoua momentum ya Simba dhidi ya TP Mazembe uwanja wa nyumbani, kabla ya kwenda kupigwa goli kumi kule Zambia...
anakuaje mchezaji wa mwezi anaepamba kurasa za habari na forums?
kwa nini Watanzania huwa tuko comfortable na kushindwa shindwa? tufike mahali tukatae mediocrity