imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,677
- 71,034
Akishavuta cheki yake nani amuue anatulia tuli ananunua hisa kwenye kampuni ya Total.Sifahamu sana ukweli kuhusu siasa za UG na ukweli au uhalisia kuhusu tabia ya mseveni. Ila Aliyekuambia wauaji wakitoa cheki wanaghairi kuua ni nani? Kama unaamini atauwawa basi mshauri afe huku anapigana si ahongwe halafu ndo afe. Tena kufa huku hakuna public attention ts much more easy than vice versa.
Anaishi maisha mustarehe.anafungua Ngo yake ya kusaidia vijana maskini.