Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,834
Anajulikana hivyo ila JINA lake halisi ni Robert sentam kyagulanyi, ni mwanasiasa mwenye ushawishi na mvuto mkubwa nchini Uganda
Mwaka huu aliweza kugombea urais nchini Uganda kupitia Chama cha national unit platiform (NUP), japo alishinda zaidi ya asilimia 97 kwa mujibu wa amnesty international lakini hakutangazwa kama ilivyo kawaida ya nchi zetu za kiafrka.
Hayo juu ni machache tu lakini umaarufu wake umekuwa ukienda kasi zaidi kuliko zaidi ya mwanasiasa yeyote yule nasikwamwanasiasa tu bali hata wanamichezo, na watu mashuhuri duniani hawaoni ndani
Shirika la Habari la finance times, the guardian, na the new York times limemtaja bobi wine kuwa the first most influential person in the world, hii inamana hata Ronaldo, Oprah Winfrey, yousafzai malala, n. k wanafyata mkia.
Tukipata watu wawili kama Hawa Africa imekombolewa
"muwa siyo Tunda ni....?
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Mwaka huu aliweza kugombea urais nchini Uganda kupitia Chama cha national unit platiform (NUP), japo alishinda zaidi ya asilimia 97 kwa mujibu wa amnesty international lakini hakutangazwa kama ilivyo kawaida ya nchi zetu za kiafrka.
Hayo juu ni machache tu lakini umaarufu wake umekuwa ukienda kasi zaidi kuliko zaidi ya mwanasiasa yeyote yule nasikwamwanasiasa tu bali hata wanamichezo, na watu mashuhuri duniani hawaoni ndani
Shirika la Habari la finance times, the guardian, na the new York times limemtaja bobi wine kuwa the first most influential person in the world, hii inamana hata Ronaldo, Oprah Winfrey, yousafzai malala, n. k wanafyata mkia.
Tukipata watu wawili kama Hawa Africa imekombolewa
"muwa siyo Tunda ni....?
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app