Legends live forever....Nimethibitisha kupitia watoto wa shuleni ukipiga nyimbo zake wanazijua.
Pia 90% tuliomo humu tumezaliwa wakati ye kashafariki na tunajua nyimbo zake .....
NB:Good music ..tunasikiliza sana usiku kwenye jahazi...
Humu kuna wakongwe wakati Robart Nesta Marley a.k.a Bob Marley anatengeneza gitaa la kopo tunamuangalia tu na kumwambia aache kujichafua usichukulie JF kama fb.Nimethibitisha kupitia watoto wa shuleni ukipiga nyimbo zake wanazijua.
Pia 90% tuliomo humu tumezaliwa wakati ye kashafariki na tunajua nyimbo zake .....
NB:Good music ..tunasikiliza sana usiku kwenye jahazi...
Here