Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Pitia biography ya Obama anatumia jina la Hussein hata wakati anaapishwa kaitwa Barack Hussein Obama.
Mnaleta UDINI hadi kwa jina la marehemu?
Pitia biography ya Obama anatumia jina la Hussein hata wakati anaapishwa kaitwa Barack Hussein Obama.
Mmhhhhh......:shut-mouth: ndugu zangu kama mtu hujui kitu ni bora upite kimya kimya kuliko kuchangia vitu vya uongo!!!!!
Ndugu yangu JF sio sehemu ya porojo kitu kama hujui kitu kaa kimya! Hivi mtoto wa marehemu Bob Makani, Mohamed Makani akisikia hii kauli sidhani kama atajisikia vizuri kweli.
maana gani nyingine? Acha bange!
Hili ni fundisho kwa tulio hai, taja jina lako kamili kabla umauti haujakufikia, ili kuondoa utatanishi kwa wananchi,
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
Ndugu yangu JF sio sehemu ya porojo kitu kama hujui kitu kaa kimya! Hivi mtoto wa marehemu Bob Makani, Mohamed Makani akisikia hii kauli sidhani kama atajisikia vizuri kweli.
Mkuu unakotaka kutupeleka siko
Na kwanini tusimuelewe kwa jina lake la Bob!Hivi mbona mnataka kuleta uhuni kwenye majina ya watu sijui kwa nini hamtaki kuliweka jina lake la Mohamed..
Jina lake ni Mohamed Makani. nakumbuka ana wadogo zake Issa, Marhum Mariam na mwingine Hassan.
Na kwanini tusimuelewe kwa jina lake la Bob!
Vuta-Nkuvute, tafsiri na jina lake la kwanza, Mohamed.
Kwahiyo makelele yako ya kijinga ya muda mrefu kuwa CHADEMA ni chama cha wakristo na wachaga leo unayakana rasimi?Mie namuelewa kwa jina Bob Mohamed Ally Makani, usitake kunipangia.
Nijuavyo mimi anaitwa Mohammed Nyanga Ally, je vipi na wanawe pia unawajua kwa majina?
Mmh? Okey umesomeka mrs... Nyanga!
shukran mkuu, sasa dukuduku limenitoka!Watoto Wamefuata Dini ya Mama ya kikristo - Julie Makani, Anthony Makani, Richard Makani na Grace Makani
kwa nini watu wanakataa kutumia majina yao ya uamsho?
Kwahiyo makelele yako ya kijinga ya muda mrefu kuwa CHADEMA ni chama cha wakristo na wachaga leo unayakana rasimi?