Bob Chacha Wangwe kukata rufaa Mahakama ya Afrika kuhusu wakurugenzi kusimamia uchaguzi

Changamoto yake huyu, hajui anataka nini baada ya wakurungezi kutosimamia chaguzi.
 
Mahakama ya Africa unajua ipo wapi umekaririshwa tu unakurupuka tu

African Court on Human and People's Rights (Afchpr) ipo Arusha na bahati mbaya nchi yenu hiyo inaitambua kwa mikataba waliyo ingia nayo

Uwe unajipa muda wa kufuatilia mambo kabla hujaja kukaa uchi humu.
Mweeeee!!!! Afrika ya Kusini ambako bado tuna makovu ya kuona Waafrika wenzetu wakiuliwa, wakiteswa na kudhalilisha na Waafrika wenzao. Na Mahakama zao zikanyamaza kimya ndio leo wanaweza leo kusema neno kwa Tanzania???

Acheni kudhalilisha nchi!! Kweli kabisaaaa!!! Watanzania tunakwama wapi wajameni!!!!

Queen Esther
 
Mweeeee!!!! Afrika ya Kusini ambako bado tuna makovu ya kuona Waafrika wenzetu wakiuliwa, wakiteswa na kudhalilisha na Waafrika wenzao. Na Mahakama zao zikanyamaza kimya ndio leo wanaweza leo kusema neno kwa Tanzania???

Acheni kudhalilisha nchi!! Kweli kabisaaaa!!! Watanzania tunakwama wapi wajameni!!!!

Queen Esther
Jisitiri..haujioni ulivyo mtupu??!
 
Baada ya Mahakama ya Rufaa kutengua hukumu iliyowazuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi, Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe ameeleza nia yake ya kukatia rufaa maamuzi hayo katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ili kuhakikisha Demokrasia inapatikana.

Akizungumza jana Oktoba 17, 2019, Bob Chacha Wangwe amesema kuwa hadi sasa wameshaanza kuandaa utaratibu wa kukata rufaa nje ya Tanzania kwa kile anachokiamini kuwa kama haki imeshindwa kupatikana nyumbani, basi ataipata nje ya Tanzania.

''Ushindi huo wa upande wa Serikali tumeupokea kwa masikitiko makubwa kwasababu tunategemea demokrasia iendelee, tunapoona inarudi nyuma ni jambo ambalo linasikitisha. Sisi tutakata rufaa kwenda mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kwa sababu kwa Tanzania mahakama ya rufaa ndiyo mahakama ya juu zaidi", amesema Wangwe.

"Kwahiyo inapotokea imetoa uamuzi sisi hatuwezi tukarudi nyumbani, tunapoona hatujatendewa haki inabidi tukaitafute hiyo haki ambayo tumeikosa'', ameongeza.

Juzi Oktoba 16, 2019, Mahakama ya Rufani Tanzania ilitengua hukumu na amri ya Mahakama Kuu kuzuia wakurugenzi wa halmashauri, manispaa, na majiji kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
 
Baada ya Mahakama ya Rufaa kutengua hukumu iliyowazuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi, Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe ameeleza nia yake ya kukatia rufaa maamuzi hayo katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ili kuhakikisha Demokrasia inapatikana.

Akizungumza jana Oktoba 17, 2019, Bob Chacha Wangwe amesema kuwa hadi sasa wameshaanza kuandaa utaratibu wa kukata rufaa nje ya Tanzania kwa kile anachokiamini kuwa kama haki imeshindwa kupatikana nyumbani, basi ataipata nje ya Tanzania.

''Ushindi huo wa upande wa Serikali tumeupokea kwa masikitiko makubwa kwasababu tunategemea demokrasia iendelee, tunapoona inarudi nyuma ni jambo ambalo linasikitisha. Sisi tutakata rufaa kwenda mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kwa sababu kwa Tanzania mahakama ya rufaa ndiyo mahakama ya juu zaidi", amesema Wangwe.

"Kwahiyo inapotokea imetoa uamuzi sisi hatuwezi tukarudi nyumbani, tunapoona hatujatendewa haki inabidi tukaitafute hiyo haki ambayo tumeikosa'', ameongeza.

Juzi Oktoba 16, 2019, Mahakama ya Rufani Tanzania ilitengua hukumu na amri ya Mahakama Kuu kuzuia wakurugenzi wa halmashauri, manispaa, na majiji kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Uamuzi huo ni sawasawa na kwenye mechi ya mpira wa watani wa jadi, ielezwe kuwa refa atakuwa Ismail Aden Rage.....

Hata kama atakula kiapo, unategemea kweli Yanga ipeleke timu kwenye mechi hiyo, hata kama huyo Rage atakula kiapo, kwa kuwa wanajua wakitia tu timu, huyo Rage atawanyonga!
 
Baada ya Mahakama ya Rufaa kutengua hukumu iliyowazuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi, Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe ameeleza nia yake ya kukatia rufaa maamuzi hayo katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ili kuhakikisha Demokrasia inapatikana.

Akizungumza jana Oktoba 17, 2019, Bob Chacha Wangwe amesema kuwa hadi sasa wameshaanza kuandaa utaratibu wa kukata rufaa nje ya Tanzania kwa kile anachokiamini kuwa kama haki imeshindwa kupatikana nyumbani, basi ataipata nje ya Tanzania.

''Ushindi huo wa upande wa Serikali tumeupokea kwa masikitiko makubwa kwasababu tunategemea demokrasia iendelee, tunapoona inarudi nyuma ni jambo ambalo linasikitisha. Sisi tutakata rufaa kwenda mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kwa sababu kwa Tanzania mahakama ya rufaa ndiyo mahakama ya juu zaidi", amesema Wangwe.

"Kwahiyo inapotokea imetoa uamuzi sisi hatuwezi tukarudi nyumbani, tunapoona hatujatendewa haki inabidi tukaitafute hiyo haki ambayo tumeikosa'', ameongeza.

Juzi Oktoba 16, 2019, Mahakama ya Rufani Tanzania ilitengua hukumu na amri ya Mahakama Kuu kuzuia wakurugenzi wa halmashauri, manispaa, na majiji kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Good idea, je EACJ ina jurisdiction ya kuamua cases kama hizo? Waliangalie sana hili!
 
Ni kweli, hiyo Chacha Wangwe amefanya jambo zuri na ni haki yake, ila ukweli ni kuwa madictator huwa hawaogopi maamuzi ya mahakama bali huogopa nguvu ya umma tu. Yeye atumia njia ya mahakama sisi wengine tutatumia njia ya nguvu ya umma.
Nguvu ya umma? Mbowe anawajua vzuri nyie ndio maana hata UKUTA alihairisha
 
Back
Top Bottom