Board ya mikopo wanakata 8% ya mshahara kama lejesho la deni kwa walionufaika na mikopo,
ninachokiona mimi wanafunzi wananufaika kwa kiwango tofauti, kuna wenye asilimia mia adi sifuri, na kuna wanaosoma miaka 3 adi 4.
Mkopo nijuavyo mwenye deni kubwa ndio analipa kiasi kikubwa, kwa kuweka 8% kwa wote ninaona kama sio fair, ukizingatia na mishahara ni tofauti.
Sijui wana jf mnaonaje wezangu
ninachokiona mimi wanafunzi wananufaika kwa kiwango tofauti, kuna wenye asilimia mia adi sifuri, na kuna wanaosoma miaka 3 adi 4.
Mkopo nijuavyo mwenye deni kubwa ndio analipa kiasi kikubwa, kwa kuweka 8% kwa wote ninaona kama sio fair, ukizingatia na mishahara ni tofauti.
Sijui wana jf mnaonaje wezangu