sio bo nsavoo....
ni mbony tsapho Cleme..........
.
Bob Malya ............. Bob Marley
Peter Tesha ............. Peter Tosh
.
Nimekaa Marangu Mabibi wanaharibu Majina kama Kawa Manka Huotwa Mankia n.k
mkuu kuna koo zinapatikana sehemu inaitwa Mwika kirueni (anakotokea boss wa TRA) wanaitwa Malle lakini kutokana na wengi tuliosoma nao miaka hiyo kili boys ,Vunjo na Marangu sec wamebahatika kuwa na watoto na sasa watoto wanaitwa Marley na sio tena Malle.
mkuu kili boys Marangu sec na Vunjo ndio shule enzi zile mwaka 1990s shule zilikuwa juu sana ila zilikuja anza haribu walipoanza kuzichoma.nawakumbuka sana head master wa enzi hizo wa vunjo mzee mashingia (aka don king)mob umenikumbusha zamani ...
mkuu wakina manka hawapatikani marangu ila wanapatikana Machame na Kibosho.kwa lugha nyingine wanaitwa wapale.......