sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Wakuu hivi zile gari aina ya BMW kwenye msafara wa kikwete huwa ni kwa ajili ya walinzi wake? si ingefaa awe anapanda angalau kwenye moja ya hizo ili kama kuna adui asijue yumo kwenye gari gani? sasa jana pale ubalozi wa Zambia yeye amepanda benz halaf BMW kama sita hivi zina watu wamevaa kaunda suti..... nasikia zile gari ni za ajabu sana...zina shock absorbers ambazo hufanya research metre mia moja kujua kama barabara ina potholes ili ziweze ku cushion off...halaf ile tinted yake ni maalum kama mtu ana kitu kibaya ndani ya kipenyo cha metre 100 zinaonyesha......
kule marekani huwezi jua obama amepanda kwenye limousine gani maana zote ni identical.... hakika kiongozi wetu ana msafara maridadi HONGERA Mzee KIKWETE​
kule marekani huwezi jua obama amepanda kwenye limousine gani maana zote ni identical.... hakika kiongozi wetu ana msafara maridadi HONGERA Mzee KIKWETE​