Bmw Jitokeze Kujibu Tuhuma Zako

Ipole

JF-Expert Member
Apr 15, 2008
294
10
Kutokana na tuhuma nyingi amabazo zimekuwa zikielekezwa kwako nawewe kukaa kimya bila ya kujibu lolote inatutia mashaka wananchi wenzako.

Madai ambayo yanatolewa juu yako ni mengi muno tumeambiwa kuwa umeitumia ikulu kufanya biashara lakini kama hiyo haitoshi, Tukambiwa kuwa una hisa kiwanda cha kiwira na baadaye tunambiwa kuwa ulimbeba karamagi kwa kumuongezea muda wa mkataba wa kampuni yake.

Kwa maana hiyo basi bila shaka ulikuwa na maslahi katika kampuni hiyo. Juzi natoka arusha wakati tupita mombo ikazuka hoja yako, Na kijana mmoja akesema kwamba unayo Hoteli kubwa ya kitalii huko Lushoto.

Na kwamba una mpango wa kujenga reli ya waya kwa ajili ya kuwachukua watalii kutoka kituo kitakachojengwa hapo mombo, na kuwapandisha watalii kwenye Hoteli yake iliyoopo huko Lushoto.

Lakini pia kama hiyo haitoshi inasemekana mama mkapa alinunua jengo lililopo Ilala lililokuwa linamilikiwa na shirika la Posta kwa njia za panya.

Na baadaye kuliuza kwa mfanya biashara wa Mwanza wakati huohuo kuna jengo lililokuwa linamilikiwa na iliyokuwa NBC, Lililoko katika njia panda ya Morogoro na Jamuhuri ambalo pia inasemekana linamilikiwa na mama Mkapa.

Kwa maana hiyo basi ni wakati muafaka sasa kwa bwana BMW kuyaweka wazi mambo haya. naomba kuwasilisha
 
sasa aombwe atokeze mara ngapi ? serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule , huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi
 
Anachotakiwa kueleza ni kukubali au kukataa ni kweli raia sas anapokaa kimya maanake yanayzungumzwa ni kweli
 
sasa aombwe atokeze mara ngapi ? serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule , huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi

..shy,

..tumia busara kidogo. ulikuwa hauna haja ya kumtetea che-nkapa katika hili kwani yote aliyoyafanya yanafahamika na watu wanatoa dukuduku zao tu.

..utetezi wako usio na mipaka unawafanya watu wajiulize,"wewe una maslahi gani na hawa?"

..kwa taarifa,hata viongozi wa dini wametoa maoni yao kuwa huyu jamaa ajibu hizi tuhuma kwani kukaa kwake kimya kunawafanya watu wengi waamini kuwa ni za kweli[ingawa tunajua ni za kweli!].

..hizi issue zimekaa vibaya sana.utetezi mtupu[usio na hoja]hausaidii.

..wakati mwingine,ni busara kukaa kimya!
 
sasa aombwe atokeze mara ngapi ? serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule , huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi
Watu hawaingii kwenye PAYROLL ya mafisadi kirahisi namna hii, Unajidanganya ukidhani unatudanganya. Bora ukawapigie magoti maana pesa za wizi bado wanazo, Ongeza bidii!!

Toka lini $erikali imechukua hatua dhidi ya mafisadi bila ya whistleblowers kupiga kelele??!!
 
Anachotakiwa kueleza ni kukubali au kukataa. ni kweli raia. sasa anapokaa kimya maanake yanayazungumzwa ni kweli

..my bet is,hatojitokeza kuzungumza! why?,atakuwa amefungulia floodgate la majadiliano katika vyombo vya habari juu yake!

..it'll be suicidal!
 
Nasikia Anna Mkapa Alinunua mtaa mzima huko moshi, na ilala nasikia hotel ya lamada.
Hivi wanajisikiaje kuwa matajiri katikati ya maskini wanaoshindwa kumudu nusu na robo ya sukari?
Gazeti la SANI la wiki hii limemchora katuni nzuri mkapa na mkewe wakiwa kitandani(theme:ububu).
 
Nasikia Anna Mkapa Alinunua mtaa mzima huko moshi, na ilala nasikia hotel ya lamada.
Hivi wanajisikiaje kuwa matajiri katikati ya maskini wanaoshindwa kumudu nusu na robo ya sukari?
Gazeti la SANI la wiki hii limemchora katuni nzuri mkapa na mkewe wakiwa kitandani(theme:ububu).
 
sasa aombwe atokeze mara ngapi ? serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule , huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi

Mkuu Shy

Hivi kwa nini usirudishe hile picha ya zamani ya kidini uliyokuwa unatumia. Maana ilikuwa inakufanya unafikiria sana. Siku hizi umebadilika kweli hata nashidwa kuamini kama ni wewe. Au umeibiwa password zako nini.
 
sasa aombwe atokeze mara ngapi ? serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule , huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi

Si tunaambiwa serikali ni watu? Si tunaambiwa viongozi wa serikali ni vijakazi wetu, wanaotakiwa kutekeleza matakwa yetu? Sasa kama watu wengi wanataka Mkapa ajibu tuhuma mpaka unauliza "aombwe atokeze mara ngapi" then hiyo inaongezea nguvu case ya Mkapa kujibu.

Hii top down approach (serikali iwe controlled na viongozi na sio wananchi) ndiyo imetufikisha hapa.Kwa sababu sehemu yoyote ukiwapa control watu wachache bila ya kuwawajibisha watu hao wata abuse control kwa manufaa yao binafsi.

Kuna wimbo mmoja wa Fela Anikulapo Kuti unaitwa "Confusion Break Bone" anamsema rais wa Nigeria Shehu Shagari kwa kuiba mihela na kukaa kimya, anawashambulia wanajeshi na mahakama kwa kuiba na kukaa kimya.We need a million Felas to sing the grotesque and unethical misconducts of Benjamin Mkapa.
 
Mkapa kishageuka kuwa bubu asiyetaka kusema.
Anafura tu huko nyumbani kwake na kugonga meza kwa hasira na kuongeza kilauri cha wiski!
 
1. sasa aombwe atokeze mara ngapi ?

2. serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule ,

3. huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini

4. kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi

Masikini ya Mungu! Kuna mtu aliwahi kusema kuwa kwenye huu msafara pia tunao vibaraka wao mafisadi!
 
sasa aombwe atokeze mara ngapi ? serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule , huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi

Serikali siyo yenye mamlaka ya kumtaka ajibu tuhuma dhidi yake, bali Watanzania waliomchagua ndio wana wajibu huo. Hata kama awamu yake imekwisha bado anastahili kujibu tuhuma zozote dhidi yake kwa yale aliyoyafanya akiwa madarakani.

Kama serikali inanyamaza kimya ama kwa kumlinda fisadi Mkapa au kwa kuogopa kwamba 'nchi italipuka' basi Wananchi tuna kila sababu ya kupiga kelele kila kukicha ili Mkapa ajibu tuhuma hizo. Hatukumchagua ili atumie madaraka yake kujitajirisha kwa njia za kifisadi, bali tulimchagua ili alete maendeleo kwa Watanzania wote wanaoishi mijini na vijijini.
 
sasa aombwe atokeze mara ngapi ? serikali ndio yenye mamlaka ya kumtaka ajibu hizo tuhuma na sio wewe au yule , huyu sasa ni mwananchi huru kama wengine kama mikataba aliandika wakati akiwa serikalini kwahiyo serikali hiyo imeshapita muda wake na haina chake sasa hivi

Mkuu wakiondoa immunity tuu..atatoka mwenyewe uko aliko na kujibu tuhuma....hakuna kisichowezekana chini ya jua... slowly we are getting there....ingawa speed ni ndogo sana lakini tutafika.
 
Hivi hapa maswali hapa ni yapi?
1)Anaombwa ajitokeze na kujibu tuhuma
2)Anatakiwa ajitokeze kujibu tuhuma
3)Tusubiri sheria ichukue mkondo wake.
Maswali hayo hapo juu tunaweza kujiuliza. Watu wanataka ajitokeze lakini tunasahahu kuwa hizi ni tuhuma na hivyo inabidi awe makini kwenye statement zake.
My take:
Nafikiri hajui kuwa akanushe ama akubali ama aseme no comment..Matter fact he said nadda!
Kusuasua huko kunatokana na ushahidi ambao ni mzito!
Hana imani na baadhi ya wana CCM ambao ni wazi wamegawanyika huku waziri mkuu akiacha shughuli za kitaifa na kwenda kuzindua tawi la CCM huko chuo kikuu Tumaini in order to counter balance the "Mlimani effect"
Hana imani na ndio maana hakwenda Butiama!
Ana maadui wengi kutokana na ubabe aliokuwa nao na hivyo kusababisha mambo mengine ya ndani kwa ndani serikalini na chamani kwa ujumla aliyokuwa akiyafanya dhidi ya wenzake wakati wa scrambling for "Power and Money" na hivyo kutokea mgawanyiko ambao madhara yake ni sasa!(wanamtandao) etc.
Kwamba sasa ubongo wao unawatuma kuwa chama ndio kiko hatarini na wala sio Taifa!
Kwanini waziri mkuu aende akafungue tawi ilhali anahitajika kwa udi na uvumba sehemu lukuki nchini zenye matatizo ambayo hayajatatuliwa toka enzi na enzi?
 
Katika suala la Mkapa ni kula sahani moja na JK hili suala liko wazi. Huyu Mkapa anafanya uhuni tu hakuna aliyemtuma kufanya biashara.

Uhuni wake hauna nafasi tena ktk Tanzania, nafikiri anatakiwa awe mfano hili dunia nzima ijue kuwa sasa watanzania hawana mchezo.

Nafikiri alikuwa anajua miiko ya uongozi, tutamuomba JK amtangulize, si kwa sababu kuna mtu ana chuki binafsi naye hila ni sheria alizo hapa kuzifuata.

Kushindwa kumfikisha mKapa mahamani ni failure ya JK kulinda katiba ya nchi.
 
Kutokana na tuhuma nyingi amabazo zimekuwa zikielekezwa kwako nawewe kukaa kimya bila ya kujibu lolote inatutia mashaka wananchi wenzako.

Madai ambayo yanatolewa juu yako ni mengi muno tumeambiwa kuwa umeitumia ikulu kufanya biashara lakini kama hiyo haitoshi, Tukambiwa kuwa una hisa kiwanda cha kiwira na baadaye tunambiwa kuwa ulimbeba karamagi kwa kumuongezea muda wa mkataba wa kampuni yake.

Kwa maana hiyo basi bila shaka ulikuwa na maslahi katika kampuni hiyo. Juzi natoka arusha wakati tupita mombo ikazuka hoja yako, Na kijana mmoja akesema kwamba unayo Hoteli kubwa ya kitalii huko Lushoto.

Na kwamba una mpango wa kujenga reli ya waya kwa ajili ya kuwachukua watalii kutoka kituo kitakachojengwa hapo mombo, na kuwapandisha watalii kwenye Hoteli yake iliyoopo huko Lushoto.

Lakini pia kama hiyo haitoshi inasemekana mama mkapa alinunua jengo lililopo Ilala lililokuwa linamilikiwa na shirika la Posta kwa njia za panya.

Na baadaye kuliuza kwa mfanya biashara wa Mwanza wakati huohuo kuna jengo lililokuwa linamilikiwa na iliyokuwa NBC, Lililoko katika njia panda ya Morogoro na Jamuhuri ambalo pia inasemekana linamilikiwa na mama Mkapa.

Kwa maana hiyo basi ni wakati muafaka sasa kwa bwana BMW kuyaweka wazi mambo haya. naomba kuwasilisha

Ajitokeze aseme nini? Hivi mtu akishikwa ugoni huwa unamwona anavyonywea kama kuku aliyemwagiwa maji pamoja na viroja vyake vyote. Huyu sasa ni wa kumfikisha mahakamani tu.
 
Hivi si Kiwira inamesemekana itaanza kuchunguzwa na serikali.Sasa mnataka huyu bwana ajibu nini,kwani kukaa kimya ni jibu pia.Hata mahakamani unaambiwa una haki ya kukaa kimya au kuongea.

Au unataka kusikia anavyokanusha?Cha msingi unatakiwa kusema tunataka serikali ikamilishe uchunguzi mapema na kama kuna chetu kirudishwe.
 
Hivi si Kiwira inamesemekana itaanza kuchunguzwa na serikali.Sasa mnataka huyu bwana ajibu nini,kwani kukaa kimya ni jibu pia.Hata mahakamani unaambiwa una haki ya kukaa kimya au kuongea.

Au unataka kusikia anavyokanusha?Cha msingi unatakiwa kusema tunataka serikali ikamilishe uchunguzi mapema na kama kuna chetu kirudishwe.

Kichunguzwe kipi tena kisichojulikana? :confused:
Katika ile ripoti iliyoundwa na JK, kamati ya madini, hiyo Kiwira nayo imo humo katika ripoti. Cha ajabu ni kwamba pamoja na Mwenyekiti wa kamati hiyo kutamka kwamba ripoti imeshakamilika na wanasubiri kumkabidhi muungwana, muungwana anawapiga chennga za mwili mara yuko Uganda mara Ethiopia mara yuko Singida. Anayapa kipaumbele mambo ambayo hayastahili kipaumbele kwa sasa ukilinganisha na hili la mafisadi ambapo pia fisadi Mkapa na Yona walijimilikisha Kiwira Coal Mining katika mazingira ya kifisadi

Kiwira irudishwe chini ya umiliki wa serikali na pesa zote walizolipwa na TANESCO hadi sasa ambapo wanatakiwa walipwe shilingi 146 milioni kwa siku zirudishwe TANESCO tena na riba na fisadi Mkapa na Yona wafunguliwe mashraka kwa kujimilikisha kinyemeka KCM.
 
Kichunguzwe kipi tena kisichojulikana? :confused:
Katika ile ripoti iliyoundwa na JK, kamati ya madini, hiyo Kiwira nayo imo humo katika ripoti. Cha ajabu ni kwamba pamoja na Mwenyekiti wa kamati hiyo kutamka kwamba ripoti imeshakamilika na wanasubiri kumkabidhi muungwana, muungwana anawapiga chennga za mwili mara yuko Uganda mara Ethiopia mara yuko Singida. Anayapa kipaumbele mambo ambayo hayastahili kipaumbele kwa sasa ukilinganisha na hili la mafisadi ambapo pia fisadi Mkapa na Yona walijimilikisha Kiwira Coal Mining katika mazingira ya kifisadi

Kiwira irudishwe chini ya umiliki wa serikali na pesa zote walizolipwa na TANESCO hadi sasa ambapo wanatakiwa walipwe shilingi 146 milioni kwa siku zirudishwe TANESCO tena na riba na fisadi Mkapa na Yona wafunguliwe mashraka kwa kujimilikisha kinyemeka KCM.



Duh kazi ipo hapo ndugu!ila anaweza kufumba macho akapokea ripoti na kuwaambia mashwahiba wake jamani mambo ndio hivyo hadharani.Tatizo na yeye kama yumo kwa namna moja au nyingine.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom